Ni mimea asili yenye NGUVU kiroho hasa bangi iliyoharamishwa na baadhi ya mamlaka kwa sababu zao binafsiBiblia inasema mungu akaumba majani ya kondeni ,na Kila Jani mungu anamakusudi nalo ,Kuna majani mungu aliyaumba yawe dawa mengine mboga! Na hata kiburudisho! Mirungi inajiotea yenyewe maporini Huko , nimtu akitafuna eti anakamatwa! Wakukamatwa ni mungu ,na WA kuhojiwa ni mungu! Bangi inaota ,inamea kwa kuwa inambegu hata bila kuipanda inaota ,ukichuma ukashikwq unapigwa jela ! Alieileta ni mungu watumiaji hawana kosa ni kunyanyasa watu bila sababu acha watu wale mboga za kondeni kadiri wanavyoweza
Una hoja usikilizweBiblia inasema mungu akaumba majani ya kondeni ,na Kila Jani mungu anamakusudi nalo ,Kuna majani mungu aliyaumba yawe dawa mengine mboga! Na hata kiburudisho!
Mirungi inajiotea yenyewe maporini Huko , nimtu akitafuna eti anakamatwa! Wakukamatwa ni mungu ,na WA kuhojiwa ni mungu!
Bangi inaota ,inamea kwa kuwa inambegu hata bila kuipanda inaota ,ukichuma ukashikwq unapigwa jela ! Alieileta ni mungu watumiaji hawana kosa ni kunyanyasa watu bila sababu acha watu wale mboga za kondeni kadiri wanavyoweza
Sana na haipo duniani kimakosa sisi ndio tunashindwa kuitumiaNi mimea asili yenye NGUVU kiroho hasa bangi iliyoharamishwa na baadhi ya mamlaka kwa sababu zao binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukinogewa sana anaachia na jicho la 3 wahuni walitumie wanavyotakaHiii kitu inafaida nyingi sana kiafya
Kila mmea uliopo chini ya jua upo kwa kusudi maalumSana na haipo duniani kimakosa sisi ndio tunashindwa kuitumia
🤣🤣🤣🤣umenikumbusha mbali sana.Tayari zishakupanda kichwani Jerry upo sawa kweli?
Kichaa kimempanda Jerry (Jerry)
Baada ya kuvuta mneli (Neli)
Sisi tulidhani amerogwa na Jirani
Kumbe mibangi imempanda kichwani
[emoji419]Ni mimea asili yenye NGUVU kiroho hasa bangi iliyoharamishwa na baadhi ya mamlaka kwa sababu zao binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuitumia unaijua bange vizuri wewe?Sana na haipo duniani kimakosa sisi ndio tunashindwa kuitumia
Handasi ya bodaboda waliowengi wanakula sana GOSOUmeacha tumbaku japo inalimwa hadharani na ina wataalamu wa kilimo chake wakati huo mmea ni sawa na bangi tu. Msibishe tumbaku nayo inalevya
Sana na haipo duniani kimakosa sisi ndio tunashindwa kuitumia