Mkuu unauita ugomvi!Makanisa ya Kihuni kama gwajima wana la kujifunza hapo
Msimbe yeye ni mluguruWaluguru wengi ni Wakatoliki kindaki ndaki.
Waluguru tuko wa dini zoteWaluguru wengi ni Wakatoliki kindaki ndaki.
Msimbe ni jina la kiluguru hiloMsimbe yeye ni mluguru
Majina common kwa waluguru ninayoyajua ni mkude, koba, makalla......Msimbe ni jina la kiluguru hilo
Kwa wale wanaotaka kuangalia live link hii hapa au waweza check via tumaini tv kwenye Azam kisimbuziMuda huu inaendelea Misa takatifu ya kusimikwa kwa askofu wa Jimbo katoliki Morogoro hapa st Peter's Morogoro.
Tamko la kipapa linasomwa kwa kilatini halafu litarudiwa kwa kiswahili.
Sasa linasomwa kwa kiswahili.
Msimbe piaMajina common kwa waluguru ninayoyajua ni mkude, koba, makalla......
Tumsifu Yesu Kristu Wapendwa katika roho na mwili