Misa takatifu ya kusimikwa kwa askofu wa Jimbo katoliki Morogoro

Misa takatifu ya kusimikwa kwa askofu wa Jimbo katoliki Morogoro

Theoretically (kidhahania) Askofu anateuliwa na Papa lakini practically(kihalisia) anachaguliwa na Nuncio(balozi wa Papa) Kwa msaada wa baraza la maaskofu
Jina linapelekwa Vatican Katika idara ya uinjilishaji ndio wakiafiki Papa anadondoka tu signature
 
Theoretically (kidhahania) Askofu anateuliwa na Papa lakini practically(kihalisia) anachaguliwa na Nuncio(balozi wa Papa) Kwa msaada wa baraza la maaskofu
Jina linapelekwa Vatican Katika idara ya uinjilishaji ndio wakiafiki Papa anadondoka tu signature
Majina kadhaa yanapendekezwa
 
Theoretically (kidhahania) Askofu anateuliwa na Papa lakini practically(kihalisia) anachaguliwa na Nuncio(balozi wa Papa) Kwa msaada wa baraza la maaskofu
Jina linapelekwa Vatican Katika idara ya uinjilishaji ndio wakiafiki Papa anadondoka tu signature
Kifupi anachaguliwa na askofu wake.. huwa anapeleka majina matatu kila baada ya miaka 3
 
Mkuu unauita ugomvi!
Hakuna ugomvi wala nini! Sasa mtu anaanzisha kanisa lake, analisajili, na mwisho anajiita Askofu/ Nabii/ Mtume/Takataka gani sijui!!

Ukimuangalia tu kwa nje, unaona kabisa ni mpigaji, mzinzi, mwizi, muuza madawa ya kulevya, chapombe, nk.
 
Dini za wakoloni, yaani kiongozi wa morogoro anateuliwa na beberu!
 
Hakuna ugomvi wala nini! Sasa mtu anaanzisha kanisa lake, analisajili, na mwisho anajiita Askofu/ Nabii/ Mtume/Takataka gani sijhi!!

Ukimuangalia tu kwa nje, unaona kabisa ni mpigaji, mzinzi, mwizi, muuza madawa ya kulevya, chapombe, nk.
Unaugomvi na masanja
 
Back
Top Bottom