Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Acha dhambi acha huo uzinzi acha kujipa moyo, mahubiri ya taratibu kama yale watu hawawezi kuacha dhambi. Na ndio maana ukisoma biblia kuna muda Yesu alikua anakemea anapowaombea watu na anapo wahubiria. Kuna muda alikua anakua mkali.Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Acha uongo mkuu, acha uongo huo maramoja kasome biblia acha kusoma historia. Unapo hubiri lazima ukemee sio kuhibiri taratibu kwa kuwa bembeleza watu.Historia inaonyesha wachungaji wengi wametokea RC wakaenda kufanya yao
Kasome biblia uimalize yote ukianza kuhubiri hutohubiri kwa kuwabembeleza watu, utahubiri kwa nguvu zote tena kwa sauti kubwa. usije ukadhani wanapenda kuhubiri vile yule ni Roho mtakatifu akisha jaa unajikuta unahubiri kwa nguvu.Yesu alipayuka? Maisha ya ukristo ni zaidi ya utoaji mapepo
Hawa wa gwajima,mlima wa moto,efatha,mzee wa upako,ni waganga njaa tu,Askofu wa kikatoriki,ni sawa na kusoma,shahada,Masters,PHD,mpaka level ya uprofesa,sasa hawa wengine,unatoka,form4,unapiga kacheti ka theorogy,tayari,nabii,mara paaap,mtume!!nabii mkuu!Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Upumbavu wako unakupofusha usione wala usielewe kile ambacho Mungu anatenda kwa watu wake.kuna watu wapo smart sana and professional, ila kuna mijitu utafikiri inahati miliki ya Mungu, utasikia tunaongozwa na roho mtakatifu mara oooh hatufuati liturugia muda kwao sio kitu...wanaweza kesha wakiabudu, kwenye mabanda yao wameweka muda na ibada ila ukiingia ndani unakutana na mambo ambayo hayapo kwenye ratiba yao..alafu wanajifariji kuwa roho mtakatifu anawaongoza wasifuate muda
Kusoma sio tatizo unaweza kusoma alafu Mungu asikutambue.Hawa wa gwajima,mlima wa moto,efatha,mzee wa upako,ni waganga njaa tu,Askofu wa kikatoriki,ni sawa na kusoma,shahada,Masters,PHD,mpaka level ya uprofesa,sasa hawa wengine,unatoka,form4,unapiga kacheti ka theorogy,tayari,nabii,mara paaap,mtume!!nabii mkuu!
Acha kumdhihaki Mungu tena ushindwe katika jina la YesuHilo ndio Kanisa moja Katoliki la Mitume.
jiwe la gizani limempata mhusikaUpumbavu wako unakupofusha usione wala usielewe kile ambacho Mungu anatenda kwa watu wake.
Halafu Mhuni kama Gwaji naye anaidai ni a Askofu Sawa au zaidi ya maaskofu wa Katoliki....!!Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ila mimi binafsi huwa naona haya makanisa ya waroho waliowengi akiri yao sio nzuri japo hawaokoti makopo, na tunakoelekea karibu kila kitongoji kitakuwa na mchungaji.Kanisa linapimwa kwa kutumia nini mkuu?
Wewe bila shaka utakua ni mpumbavu ambaye huelewi kitu.
Wewe una uwezo wa kulipima kanisa. Mwenye uwezo ni Mungu peke yake.
Hivyo hiyo kazi mwachie Mungu. Mungu ndiye anayejua ni yepi makanisa ya kweli. Yale yaliyo jengwa kwa msingi wa Yesu Kristo Mungu wetu wa kweli.
Ushindwe katika jina la Yesu.Ila mimi binafsi huwa naona haya makanisa ya waroho waliowengi akiri yao sio nzuri japo hawaokoti makopo, na tunakoelekea karibu kila kitongoji kitakuwa na mchungaji.
ushindwe katika jina la Yesujiwe la gizani limempata mhusika
Acha kumdhihaki Mungu tena ushindwe katika jina la Yesu
Usishuhudie uongoAlafu misa haibadiliki ni ile ile kila siku pia wanahubiri yale watu wanayotaka kama kula ze kiki, mademu kwenda kwa waganga wa kienyeji, kuponda maisha utakavyo alafu unaombewa na Mungu anakupokea kupitia maomb ya wavaa majoho.