Misa ya Mkapa: Nimeona tofauti kubwa kati ya maaskofu wa Katoliki na wale wa makanisa kama la Gwajima!

Acha dhambi acha huo uzinzi acha kujipa moyo, mahubiri ya taratibu kama yale watu hawawezi kuacha dhambi. Na ndio maana ukisoma biblia kuna muda Yesu alikua anakemea anapowaombea watu na anapo wahubiria. Kuna muda alikua anakua mkali.
 
Historia inaonyesha wachungaji wengi wametokea RC wakaenda kufanya yao
Acha uongo mkuu, acha uongo huo maramoja kasome biblia acha kusoma historia. Unapo hubiri lazima ukemee sio kuhibiri taratibu kwa kuwa bembeleza watu.
 
kuna watu wapo smart sana and professional, ila kuna mijitu utafikiri inahati miliki ya Mungu, utasikia tunaongozwa na roho mtakatifu mara oooh hatufuati liturugia muda kwao sio kitu...wanaweza kesha wakiabudu, kwenye mabanda yao wameweka muda na ibada ila ukiingia ndani unakutana na mambo ambayo hayapo kwenye ratiba yao..alafu wanajifariji kuwa roho mtakatifu anawaongoza wasifuate muda
 
Yesu alipayuka? Maisha ya ukristo ni zaidi ya utoaji mapepo
Kasome biblia uimalize yote ukianza kuhubiri hutohubiri kwa kuwabembeleza watu, utahubiri kwa nguvu zote tena kwa sauti kubwa. usije ukadhani wanapenda kuhubiri vile yule ni Roho mtakatifu akisha jaa unajikuta unahubiri kwa nguvu.
 
Hawa wa gwajima,mlima wa moto,efatha,mzee wa upako,ni waganga njaa tu,Askofu wa kikatoriki,ni sawa na kusoma,shahada,Masters,PHD,mpaka level ya uprofesa,sasa hawa wengine,unatoka,form4,unapiga kacheti ka theorogy,tayari,nabii,mara paaap,mtume!!nabii mkuu!
 
Upumbavu wako unakupofusha usione wala usielewe kile ambacho Mungu anatenda kwa watu wake.
 
Kusoma sio tatizo unaweza kusoma alafu Mungu asikutambue.
 
Halafu Mhuni kama Gwaji naye anaidai ni a Askofu Sawa au zaidi ya maaskofu wa Katoliki....!!
 
Ratiba inaonesha Muhashamu Pengo atatia timu lini kumuhudumia kondoo wake aliyedondoka na kuwafariji walio baki.
 
Alafu misa haibadiliki ni ile ile kila siku pia wanahubiri yale watu wanayotaka kama kula ze kiki, mademu kwenda kwa waganga wa kienyeji, kuponda maisha utakavyo alafu unaombewa na Mungu anakupokea kupitia maomb ya wavaa majoho.
 
Ila mimi binafsi huwa naona haya makanisa ya waroho waliowengi akiri yao sio nzuri japo hawaokoti makopo, na tunakoelekea karibu kila kitongoji kitakuwa na mchungaji.
 
Alafu misa haibadiliki ni ile ile kila siku pia wanahubiri yale watu wanayotaka kama kula ze kiki, mademu kwenda kwa waganga wa kienyeji, kuponda maisha utakavyo alafu unaombewa na Mungu anakupokea kupitia maomb ya wavaa majoho.
Usishuhudie uongo
 
Imani ya makanisa ya Kikatoliki, na makanisa yote ya kiprotestanti k.v Lutheran, Anglikana, Moravian, Menonite, nk ni makanisa yanayomwabudu Mungu kwa kuishia kwenye nafsi. Nafsi ya mwanadamu imeundwa na components kuu tatu UTASHI, AKILI, na HISIA. Ibada zao zote huwa hazivuki hapa na kuingia rohoni.

Ibada zao zimekaa kiakili-akili, na kihekima-hekima tu,,. Ndio maana utakuta mtu anaitwa askofu mkuu ila hawezi kukemea viumbe vya rohoni kama mapepo/majini, ... kwa sababu roho hizi chafu hukemewa kwa namna ya rohoni.

Ninapoyasema haya sio kwamba ninamsapoti Gwajima, ila lipo Kanisa la kweli (sio Gwajima, na sio Katoliki). Ukitaka kulijua nitafute.

Jesus is Lord .
 
Hao uliowataja hawana nyimbo wala luturjia ya mazishi, huwa wanasema walivyosikia kwa wenzao na kuimba tenzi.

Hizo hela wanazokusanya sijui wanafanyia nini hata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…