jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Nchi mbili..Tanganyika iko wapi..kama kwanza wao wanachangia kiasi gani kwenye bajeti ya muungano..pili kama walishindwa deni la tanesko wanaweza vipi kurudisha hii mikopo...hawa kupe.Hata kama ni nchi mbili zilizoungana ni vyema mgao ukazingatia idadi ya watu na umuhimu wa miradi.
On top of that kila mtu alipe accordingly.
Kiasi ulichochukua ndio unapaswa kukirejesha.
Otherwise hii trend ya kupeleka tu mahela huko its quite unfair to Tanganyikan's.
Una akili ndogo sana, Nchi hatuangalii ukubwa.Huu muungano umekuwa ni km laana kwa watanganyika job jinsi wanavyonyonywa na kisiwa kisiwa chenye ukubwa kama kata ya magomeni
Kuna haja ya kuwepo na bunge la Tanganyika, kama ilivyo baraza la mapinduzi ZazibarHuu muungano umekuwa ni km laana kwa watanganyika job jinsi wanavyonyonywa na kisiwa kisiwa chenye ukubwa kama kata ya magomeni
Una akili ndogo sana, Nchi hatuangalii ukubwa.
Kuna haja ya kuwepo na bunge la Tanganyika, kama ilivyo baraza la mapinduzi Zazibar
Kuna haja ya kuwepo na bunge la Tanganyika, kama ilivyo baraza la mapinduzi Zazibar
hakuna haja ya serikali tatu. inatakiwa moja tu. unguja iwe wilaya na pemba iwe wilaya chini ya madc au ziwe mikoa tuSerikali tatu zinahitajika haraka
Zanzibar inataka uhuru. Nyie machogo kama mnataka serikali 3 ongeeni na Rwanda na Burundi mtengeneze hizo serikali 3.Serikali tatu zinahitajika haraka
Singapore ni nchi ndogo kuzidi hata Zanzibar lakini ina maendeleo makubwa mara mia kidogo kuzidi Tanzania.Ni bora nisiwe na akili kuliko huu uongo unaoitwa muungano
Kwenye kulipa mikopo pia tulipe kwa uwiano sawa na kinachopokelewa na kila upande.Una akili ndogo sana, Nchi hatuangalii ukubwa.
Kama mnataka pasu KWa pasu ya pesa ,basi na Mambo mengine twende pasu KWa pasuView attachment 2123875
ndivyo inavyotakiwa.
kuna fununu Ndungai alikuwa anachukia anapoona misaada na mikopo asilimia kama 300 inaenda Zanzibar, ule ulikuwa ni mwanzo tu, kwa sasa inabidi mambo yawe pasu kwa pasu, naamini spika mpya atatii na kumhshimu raisi ambaye yupo kwa maslahi ya Tanzania.
N i mwendo wa pasu kwa pasu kuanzia sasa.
kuna msaada wa trilioni 1.15, hizo zipigwe pasu kwa pasu nazo.