Misafara ya Rais na viongozi wa juu kwenye jiji la kibiashara kama Dar itumie helicopter

Misafara ya Rais na viongozi wa juu kwenye jiji la kibiashara kama Dar itumie helicopter

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Hii imekuwa kero kubwa sana ,hasa kwa wapambanaji ambao akipoteza saa Moja tu au masaa manne amelala njaa!

Wengine weajiriwa anatakiwa kufika kwa wakati kazini kwake akichelewa hana kazi na hawezi kumwambia boss nilikuwa nasubili rais apite!

Serikali itusaidie kuondoa hii kero ni mbaya sana na haifai ! Kwanini kutoka ikulu kwenda airport asitumie helicopter ?
 
Hii imekuwa kero kubwa sana ,hasa kwa wapambanaji ambao akipoteza saa Moja tu au masaa manne amelala njaa!

Wengine weajiriwa anatakiwa kufika kwa wakati kazini kwake akichelewa hana kazi na hawezi kumwambia boss nilikuwa nasubili rais apite!

Serikali itusaidie kuondoa hii kero ni mbaya sana na haifai ! Kwanini kutoka ikulu kwenda airport asitumie helicopter ?
Baadae tutahoji kuwa ni matumizi mabaya ya mafuta
 
Back
Top Bottom