Misalaba wavaayo watu maarufu akina Diamond, Masanja na wengineo

Misalaba wavaayo watu maarufu akina Diamond, Masanja na wengineo

Haya matakataka ya kuvaa shingoni binafsi yalinishinda aisee!!

Rozari tu inanitosha.


Ndio maana huko nyuma nilisema, wazungu na waarabu wametuharibia historia ya Afrika. Yaani unaita kitu usichokijua ni takataka, kwa vile mzungu kakuletea rozari?
 
Huo sio msalaba mkuu
Hakuna msalaba ambao uko hivyo
Chukulia kama urembo tu
 
Rozari nayo ni takataka tatizo unajifanya kipofu.
Wake up.
Kwa sisi wakatoliki rozari ni kifaa cha kuhesabia mafungu ya sala tu
Hakina maana nyingine na ule ulio chini pale ndio msalaba unavyotakiwa kuwa sio kama hizo walizovaa hao wahuni
 
The Ankh is one of the most recognizable symbols from ancient Egypt, known as "the key of life" or the "cross of life", and dating from the Early Dynastic Period (c. 3150 - 2613 BCE). It is a cross with a loop at the top sometimes ornamented with symbols or decorative flourishes but most often simply a plain gold cross. The symbol is an Egyptian hieroglyph for "life" or "breath of life" (`nh = ankh) and, as the Egyptians believed that one's earthly journey was only part of an eternal life, the ankh symbolizes both mortal existence and the afterlife. It is one of the most ancient symbols of Egypt, often seen with the djed and was symbols, carried by a multitude of the Egyptian gods in tomb paintings and inscriptions and worn by Egyptians as an amulet.

the-circle-of-willis-internal-middle-carotid-cerebral-artery-artery-10341193.png

d691fb3f6f1f9e2a437b0ec07b9a0073.jpg

wall-relief-showing-egyptian-god-montu-holding-ankh-to-the-face-of-B8XJ91.jpg


relief-of-ankh-with-arms-on-staff-at-the-temple-of-haroeris-and-sobek-BGJ29H.jpg



tmp711033530464862210.jpg

bed2bede96d0e56ea41031f65339a075.jpg


Nimeona hivyo huko google street. Hizo za dhahabu tupu zilipatikana wakati wa utafiti ardhini ndani ya pyramids huko Egypt. Nahisi wanafahamu wanavaa
 

Attachments

  • 23775061223_cecf44ebc4_b.jpg
    23775061223_cecf44ebc4_b.jpg
    94.1 KB · Views: 32
The Ankh is one of the most recognizable symbols from ancient Egypt, known as "the key of life" or the "cross of life", and dating from the Early Dynastic Period (c. 3150 - 2613 BCE). It is a cross with a loop at the top sometimes ornamented with symbols or decorative flourishes but most often simply a plain gold cross. The symbol is an Egyptian hieroglyph for "life" or "breath of life" (`nh = ankh) and, as the Egyptians believed that one's earthly journey was only part of an eternal life, the ankh symbolizes both mortal existence and the afterlife. It is one of the most ancient symbols of Egypt, often seen with the djed and was symbols, carried by a multitude of the Egyptian gods in tomb paintings and inscriptions and worn by Egyptians as an amulet.

View attachment 791048
View attachment 791051
View attachment 791053

View attachment 791059


View attachment 791065
View attachment 791069

Nimeona hivyo huko google street. Hizo za dhahabu tupu zilipatikana wakati wa utafiti ardhini ndani ya pyramids huko Egypt. Nahisi wanafahamu wanavaa
wasipoelewa na hapa basi tumuite Juma Nyoso aje kuwaelewesha.....
 
Kwa sisi wakatoliki rozari ni kifaa cha kuhesabia mafungu ya sala tu
Hakina maana nyingine na ule ulio chini pale ndio msalaba unavyotakiwa kuwa sio kama hizo walizovaa hao wahuni
Msalaba ni ishara ya devilish practices...
Kama hujui originally ilitumika kama namna ya kusherehekea mafanikio ya kumuua mtu aliyejiita masihi.
Furthermore ukatoliki ni UPAGANI!
 
Msalaba ni ishara ya devilish practices...
Kama hujui originally ilitumika kama namna ya kusherehekea mafanikio ya kumuua mtu aliyejiita masihi.
Furthermore ukatoliki ni UPAGANI!


You're out of topic. And I'm sure you have no idea about paganism.
 
Back
Top Bottom