Misalaba wavaayo watu maarufu akina Diamond, Masanja na wengineo

Misalaba wavaayo watu maarufu akina Diamond, Masanja na wengineo

Msalaba ni ishara ya devilish practices...
Kama hujui originally ilitumika kama namna ya kusherehekea mafanikio ya kumuua mtu aliyejiita masihi.
Furthermore ukatoliki ni UPAGANI!
Msalaba ni ishara ya devilish practices...
Kama hujui originally ilitumika kama namna ya kusherehekea mafanikio ya kumuua mtu aliyejiita masihi.
Furthermore ukatoliki ni UPAGANI
Then so what???
 
msalaba Kwa wapinga Kristo ni ishara ya kusherekea kumuua yesu na msalaba huohuo Kwa wakristo wanautumia kama ishara ya ukombozi msalabani
 
msalaba Kwa wapinga Kristo ni ishara ya kusherekea kumuua yesu na msalaba huohuo Kwa wakristo wanautumia kama ishara ya ukombozi msalabani
 
Siielewi hii misalaba yenye duara juu, ina signify kitu gani?
Naona ma celebrity kibao wakiivaa kuanzia Diamond Platnumz hadi Masanja Mkandamizaji
Mwenye uelewa naomba afafanue, maana sijawahi kuiona popote kama alama za Christianity au Kanisani.
View attachment 791016
View attachment 791013
Msalaba uko wapi hapo?? Msalaba umekaa kama alama ya jumlisha (+). Sasa huoni hio CHENI iko na duara kwa juu??
 
Back
Top Bottom