Misamiati inayotumika kwa wingi hapa JF

Misamiati inayotumika kwa wingi hapa JF

Huwa naamn jamii forum ina watu wa kuigana sana kila mtu mkuu alafu wanapenda kutajana sana utazani wao ndo waazilishi wa hii platform na wanaamin watu wengne hawawez kupost kitu cha maana kwakuwa sio flan kapost huwa nawadharau sana weng wenu ndo maana misamiat ni ile ile ya mkuu na papuchi
It's true but- relax..... Usiwe na hasira, ukiona ameigwa ujue anapower na something ambacho ambae hajaigwa hana

Chill bro
 
Huwa naamn jamii forum ina watu wa kuigana sana kila mtu mkuu alafu wanapenda kutajana sana utazani wao ndo waazilishi wa hii platform na wanaamin watu wengne hawawez kupost kitu cha maana kwakuwa sio flan kapost huwa nawadharau sana weng wenu ndo maana misamiat ni ile ile ya mkuu na papuchi
Povu.
 
Back
Top Bottom