It's true but- relax..... Usiwe na hasira, ukiona ameigwa ujue anapower na something ambacho ambae hajaigwa hanaHuwa naamn jamii forum ina watu wa kuigana sana kila mtu mkuu alafu wanapenda kutajana sana utazani wao ndo waazilishi wa hii platform na wanaamin watu wengne hawawez kupost kitu cha maana kwakuwa sio flan kapost huwa nawadharau sana weng wenu ndo maana misamiat ni ile ile ya mkuu na papuchi
Upitie Lumumba ukachukue 7000 yako
Sijawahi elewa maana ya Lumumba, niambieni maana yake tafadhaliMaccm
Wanalumumba!.
Mtaa wa Lumumba zipo ofisi za Ccm mkuuSijawahi elewa maana ya Lumumba, niambieni maana yake tafadhali
Povu.Huwa naamn jamii forum ina watu wa kuigana sana kila mtu mkuu alafu wanapenda kutajana sana utazani wao ndo waazilishi wa hii platform na wanaamin watu wengne hawawez kupost kitu cha maana kwakuwa sio flan kapost huwa nawadharau sana weng wenu ndo maana misamiat ni ile ile ya mkuu na papuchi
dah na buku saba humaanisha nin....Hivi shule zinafunguliwa lini
posho wanayopewa vijana wa Lumumba ccmdah na buku saba humaanisha nin....