Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
Mkuu, bila shaka umepitia pale musoma tech maeneo ya baruti kwa Bry, safi sana.
Nadhani pia utakumbuka samaki wa kukaangwa wa mafuta ya Mara Oil pale Nyarusurya! Vp waloko pale jikoni sijui kama bado wapo!