Mfugaji wa kuku
Member
- Jul 1, 2016
- 52
- 32
Fisi ni mwanaume anayependa Sana watoto Wa kike ambao ni weupe kwa rangi.Fisi ndio nini.?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fisi ni mwanaume anayependa Sana watoto Wa kike ambao ni weupe kwa rangi.Fisi ndio nini.?!
umedandia Train kwa mbele , take time kusoma post za juu utajua kwanini nilimtaja Legend SOS B(Sostenes Ambakisye)Not true, his real name is Misanya Bingi, I went to school with some of his sisters.
we should be more focus on what we doing kuliko kuunga unga shule nakujaza vyeti....For that reason, UNASHAURI WATANZANIA WOTE TUWE MABAKHRESA????
Umedandia basi kwa dirisha. Soma kwa makini before commenting. Those are two different personNot true, his real name is Misanya Bingi, I went to school with some of his sisters.
we should be more focus on what we doing kuliko kuunga unga shule nakujaza vyeti....
Praying for you brotherHuyu bwana amenitia nguvu sana ya kupambana na elimu kweli hakuna kisichowezekana...chini..ya jua...I believe that one day I will have a pHD....also
Flora Nducha yuko radio ya umoja wa mataifa idhaa ya kiswahili New York Marekani, aunt Ndina simfahamu, lakini kama unajua jina lake kamili ukiandika naweza kumtambua.
Tumsifu Yesu kristu
Ndoto imezimika. R.I.P
===========
View attachment 364200
Mtangazaji Mkongwe wa Radio nchini, DR. Misanya Bingi.
Aliyepata kuwa mtangazaji mahiri wa ITV ambaye sasa ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam jana alitunukiwa cheti chake cha PhD na sasa anajulikana kama Dkt Misanya Bingi.
JamiiForums inakupongeza kwa hatua hiyo na kukuombea wepesi huko kwenye uprofesa unakoelekea, hasa baada ya kutetea vyema andiko lako la "Female Circumcision" kwenye thesis yako.
Ni matumaini yetu wanafunzi wako wote hapo Sociology Dept. wanafurahi.
Hongera mwayego...... When one door is closed many others are open..
Jana waliandika yupo ICU. Ni kweli [emoji115]Ndoto imezimika. R.I.P
Mkuu una uhakika na hiki ulichokiandika ??Ndoto imezimika. R.I.P
Kafariki bhanaJana waliandika yupo ICU. Ni kweli [emoji115]