Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah!
wapo ma employer wajingawajinga wa ivyo.Hata kuna mahali nilikuwa nafanya kazi kuna employer alikuwa anajibost na kusema "the exit door is open....".
Wapo sana.sijui sheria zinasemaje.
Where is this happening? Tanzania?
aah...mbona solution iko simpo tu ila inataka employees muwe na umoja! mnaji-organize siku moja mnamsubiri anakuja ofisini kwake, mnamkunja na mnamnyang'anya simu zake zote na ile simu ya mezani mnai-disconnect! mnampa maneno ya vitisho vikali sana then adhabu yake mnamfungia ofisini kwake kama 8hrs! akitoka hapo atawaheshimu! angalizo: jambo hilo mlifanye as a team sio wengine wawe nyuma nyuma maana kama ni kuwafukuza hawezi kufukuza employees wote! pia muwe makini na vibaraka wake miongoni mwenu wakati mnapanga mikakati yenu! mkitimiza hilo mbona atakuwa bosi mshikaji!!!
njia mbadala ni kama ana mke ni kumfanyia blackmail. miongoni mwenu kama kuna mfanyakazi wa kike ambae bosi huwa anaonesha interest ya kumtaka basi mnamtumia. anajirahisisha kwa bosi but asiwe mwepesi wa kumvulia. then mnapanga mipango ya kuweka hidden camera katika chumba cha guest house watakachokwenda kujivinjari. camera itarekodi matukio. hizo picha mtaweka kwenye bahasha na meseji yenye ujumbe 'ukiendelea kutunyanyasa...your wife has to see these photos' otherwise tutaziingiza kwenye mtandao'. atakuwa mpole na mtakuwa mkimgeuza kama samaki kikaangoni.
:target::target::target:
Hujampa mbinu ya kupambana na situation kama hiyo as an individual
njia mbadala ni kama ana mke ni kumfanyia blackmail. miongoni mwenu kama kuna mfanyakazi wa kike ambae bosi huwa anaonesha interest ya kumtaka basi mnamtumia. anajirahisisha kwa bosi but asiwe mwepesi wa kumvulia. then mnapanga mipango ya kuweka hidden camera katika chumba cha guest house watakachokwenda kujivinjari. camera itarekodi matukio. hizo picha mtaweka kwenye bahasha na meseji yenye ujumbe 'ukiendelea kutunyanyasa...your wife has to see these photos' otherwise tutaziingiza kwenye mtandao'. atakuwa mpole na mtakuwa mkimgeuza kama samaki kikaangoni.
[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/COLOR][/FONT]:target::target::target:
asante kwa shauri mzuri. Samahani, una mke ama dadako ajitolee huo mtego.wa.picha za gesti hausi?
Yeah....Njoo uyaone...mbona ya kawaida saana
Nimemuuliza mleta mada kwa this specific instance. Nilitaka kumtafutia wahusika sadly inaonekana kasepa.
Sie ma "expat"/ wabeba boksi wa Tanzania tulio nje ya nyumbani tunaweza ku sympathise.
Mnyamwezi na upuuzi wake wote labor laws anaziheshimu na kuna legal avenues kibao za kumnyoosha mwajiri mshenzi. Not to mention the competitive labor market itself does not allow ushenzi. Ukiletea wafanyakazi wako wenye talent ushenzi wakati kila siku wanapata emails kutoka kwa recruiters wanaotafuta wafanyakazi watakukimbia wote.