Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Jino moja mswaki wa nini?
Kama una haraka ungewahi jana.
Unakula ulikopeleka mboga.
 

If you want mambo try
 
Jamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini..
1. Majungu mliyo yapika sasa mtayapakua...
2. Nenda kaseme tena..
3. Gusa unate..
4. Flag ya chuma..
5. Masikini hafilisiki..

6.Panga jipya makali yaleyale.
 
1.Meli ya sumu
2.Maveterani wa Ghuba.
3.Sote Abiria Dereva ni MUNGU.
4.Baba Hapendi.
5.Yatima Hadeki.
6.Dege La Vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…