Miluzi mingi hupoteza Mbwa!
Kama ni wewe ulikuwa una overtake hapo aise na unaona kabisa mstari unakukataza kufanya hivyo duh
Mkuu, katika madereva kumi wa Tz walioko barabarani ni wawili wanaelewa maana ya broken na continuous lines kwenye overtaking. Ni Majanga.