Ujumbe niliowahi kuuona "SALIMIA WANAUME WENZAKO KABURI HALICHIMBWI NA WANAWAKE" ... Tupia nawewe unayokumbuka
View attachment 416291
Kaa mbele ufike haraka
datz trueUtamu wa kazi, pesa..!
Hata jogoo huamka asubuhi ila hafungui mlango...1. Kisu cha ngariba
2. Mkanye mkeo,bodaboda siyo yangu
3. Kusoma sana ni woga wa maisha
4. Panua mkwaju waja
5. Tatizo pesa
6. Dela hunoga kwa mwenye nyama
7. Kutwa mara tatu
8. Hainaga ushemeji tunakulaga
9. Mbuyu ulianza kama mchicha
10.
Naomba uongezee misemo mingine uijuayo.