Unakumbuka huo ujinga wako uliuandika wapi? ile nyuzi imefungwa ndiyo maana nimekuletea hukuhuku.
Nakupa u "reveal" hiyo ID yangu, ili watu wawe shocked, kama ulivyojidai. Yanini unaandikia mate na wino upo?
Na kama huna hiyo ID au hauna uhakika nayo, kesho ntakuwa Dar. Hapo Lumumba na Udoe, jengo la kona kabisa Ghorofa ya tano. Njoo uchukuwe copy ya ID yangu na kama wewe ni mwanamke au mwanamme kweli, onesha hapa uanamke wako au uanamme wako.