Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

"Dear" Bora sigara kuliko kuchepuka. (Lawate via Nsongoro Lukani)
 
HAPA STORY TU MSOSI KWENU.

Nimeipenda imekaa kichoyo choyo
 
Hii ni toka kwa bodaboda ila imeniacha hoi
 

Attachments

  • 1411201220483.jpg
    53.3 KB · Views: 1,078
Jamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini..
1. Majungu mliyo yapika sasa mtayapakua...
2. Nenda kaseme tena..
3. Gusa unate..
4. Flag ya chuma..
5. Masikini hafilisiki..

Kama jela shule peleka mwanao
 
mimi nitawatajia majina mazuri ya daladala za chang'ombe dodoma.
second upako,money power respect,yehova,tulia upakatwe,i love freemasons,mashallah.na kadhalika kwa akina rashida rjb na high kwa masela wote
 
DANFORD P.H
leo nawapa misemo kazaa
raha ya kujamba chomeka waya wasabufa ili lisikike na ucwe kama baraka miyale,ngongite,ntombi,malebo,ngobito,nyabunja,kumani,njamasi,ngochilo n.vp madiwa classic na ubu allstar
 
dah hi ni shida kampuni ya madiwa classic inakutangazia wewe mpenda kuhusu duka lao la ngua kutoka marekani kwa punguzo la asilimia 25 na kukupatia ofa ya kutosha na huwa inasambaza matangazo na kuandika barua za harusi,kitchen part na kadhalika nenda dodoma secondary ulizia frank madiwa utampata akiwa na ubu all star
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…