Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

Basi yule kuhani mkuu akanena!"ni kwa maombi ya nani miujiza hii?kwa ruhusa ya nani maombi hayo?hakika haya ni makufuru na siyatambui ,ondoeni vichwa hivi madhabahuni kwangu!majipu 06:7-17
Wasaidizi wa makuhani wakasemezana wao kwa wao "je ni nani kati yetu aliyeomba muujiza huu ?wale wasaidizi wakuu wakakana wakisema hakika hatutambui kufuru hii!
Mchecheto 05:7-17
 
Ha ha ha haaaa.... Basi wakainuka kwa pamoja na kisha wakapaaza sauti zao " Abarikiwe mama wa yule muagiza vichwa maana ni katika yeye pekee Mungu ametutendea maajabu tangu kuumbwa dunia na binadamu wote pale bustanini" Naye mfalme akapata kunena "hakika macho yangu yamepata upofu hata nisione jina na maandiko yote yaliyoandikwa juu ya kuteremshwa kwa vichwa hivyo kutokea mbinguni" .. (Kibiti 34:21-34)
 
Ndipo waDanganyika wote walipoinuna macho yao mbinguni na kusema "Amina, na aihimidiwe Bwana Mungu wetu, milele na milele. Na huyu mfalme mtumishi wake atutawale mpaka itakaposhuka Boeing Dreamliner 787 kwa mtindo wa vichwa vya treni. Amina." (Chato 13:3-7)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Drimlaina
Kumekucha kadagala,hivi sasa ni saa 12 na dk 3
 
  • Thanks
Reactions: BAK
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 

Attachments

  • 1499314372473.jpg
    1499314372473.jpg
    84 KB · Views: 62
Back
Top Bottom