Hujasema inatoka kitabu ganiNa makada wakazidi kisema, ashukuriwe Mungu wa mbinguni aliyetupatia mfalme huyu, tena tutayabadilisha hata maandiko ili atutawale milele maana mpaka taifa stars inafika final i tangu mfalme sizonje ameanza kutawala.
Hicho kitakuwa, 'Watch out' 3:2-4Hujasema inatoka kitabu gani
Hili andiko hili limeniingia moyoni kweli kweli!Ndipo makada wakajipiga vifua na kugalagala kwenye mavumbi kama chatu huku wakisema, "ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5 : 13
Hili bandiko limenifanya niwe nasoma BibleHakika watanzania ni very finny and creative there is no way you can stop em! Good initiative Ali Saleh!
Hili andiko lipo kwenye agano la kale kama sikosei.Naam, mm ndie mkuu wa wote na mtu hafanikiwi bila kuja kwangu, na mtu yoyote lazima amuombee mungu wa pili (zizonje ) maana amepewa utukufu na nguvu zote, maana asemalo ndo sheria (samaki 8:6-7)
Mkuu wangu, 7-80?Si utaugua kichwa kwa wingi wa "matirio"? HahahahaaaHaleluya .ombeni nanyi mtapewa. ..Bashite 7:7- 80,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndipo waDanganyika wote walipoinuna macho yao mbinguni na kusema "Amina, na aihimidiwe Bwana Mungu wetu, milele na milele. Na huyu mfalme mtumishi wake atutawale mpaka itakaposhuka Boeing Dreamliner 787 kwa mtindo wa vichwa vya treni. Amina." (Chato 13:3-7)
Kumekucha kadagala,hivi sasa ni saa 12 na dk 3