Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,281
- 893
Hahaa, kweli mngu anaruzuku mpaka vichwa vya tren!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makirikiri 3:5Navyo vichwa vya treni vikaulizana kwa sauti ya chini je sisi ni yatima au tuna wazazi. Kwa pamoja vikajibu hatujui, tunahitaji kuundiwa tume iliyo tukuka
Hii ni bandari 5:15-8Vichwa vinakanwa mara tatu
WalaMhhh. I gess utakuwa unaishi kwako
Amen, amen nakuhakikishia, huu uzi hautaisha hadi utakapoona Noah zikidondoka toka mawinguni kama vichwa vya treni. Makinikia 6:1-2Huu uzi usiishe jamani iwe kama makapuku forum.... Jina la huku liwe maandiko forum
Mkuu hii yako nimeiweka kwenye taswira kupitia kwa Jamaa wa Nyamagana sijui kwa niniNdipo makada wakajipiga vifua na kugalagala kwenye mavumbi kama chatu huku wakisema, "ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5-13
Hakika bavicha wakaandamana kila kona ya mji na kulisifu jina lake na adumu milele bwana wao kwa nehema zilizotukuta za vichwa vya treni.kibiti 3:4-9
Hakika watanzania ni very funny and creative there is no way you can stop em! Good initiative Ali Saleh!
Nimecheka mnooo