Atlantic Star
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 539
- 1,696
Hii aya haipo hiviMt 19:14
Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Yohana 3:16
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Yohana 3:5
[5]Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
Luka 6:31
[31]Na kama mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo.
Luka 6:29
[29]Akupigaye shavu moja, mgeuzie la pili, naye akunyang’anyaye joho yako, usimzuilie na kanzu.
Yohana 8:7
[7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Karibu kwa michango
Malaki 2;16Yohana 3:16
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Yohana 3:5
[5]Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
Luka 6:31
[31]Na kama mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo.
Luka 6:29
[29]Akupigaye shavu moja, mgeuzie la pili, naye akunyang’anyaye joho yako, usimzuilie na kanzu.
Yohana 8:7
[7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Karibu kwa michango
1 Wakorintho 1:25 NENYesu ni mwana wa Mungu aliye hai,kumbuka akiwa duniani aliuvaa ubinadamu hivyo mwili ulizidiwa maumivu makali hadi kitamka hivyo.
U na hakika hiyo namba moja alitamka Yesu?Yohana 3:16
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Yohana 3:5
[5]Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
Luka 6:31
[31]Na kama mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo.
Luka 6:29
[29]Akupigaye shavu moja, mgeuzie la pili, naye akunyang’anyaye joho yako, usimzuilie na kanzu.
Yohana 8:7
[7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Karibu kwa michango