D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
1.Siwezi nunua gari kwa mkopo
2.Huyo bwana wake mkubwa kuliko yeye, alifuata pesa tuu
3.Iphone kitu gani, simu simu tuu bora mawasiliano
4.Siwezi kula chakula cha kwenye fridge
5.Anajifanya amesoma lakini hata haolewi
6.Siwezi endesha Vits bora nitembee kwa miguu
7.Kuolewa ni stress tuu bora nikae single
8.Microwave inaleta cancer
9.Anaendesha V8 halafu anaishi uswazi
10.Hiyo nguo anajifanya amenunua laki tatu wakati ni elfu thelathini tuu kariakoo
11.Hiyo Kazi aliipata baada ya kutembea na bosi
12.Hata kama ana degree, maisha yake sawa tuu na yetu
13.Kwani Mercedes ina miguu mitano, gari gari tuu
14.Siwezi nunua gari wakati sina nyumba
15.Anaenda gym kila siku lakini ana umbo bayaa
16.Anajifanya kuongea kizungu wakati kwao shamba tuu
17.Anaringaaa, Ataachwa tuu
18.Ana umbo zuri lakini hajui kuvaa
19.Usione amenenepa hivyo anatumia ARV
20.Hakuna jipya kwenye ndoa
ONGEZEZEA NILIYOISAHA
2.Huyo bwana wake mkubwa kuliko yeye, alifuata pesa tuu
3.Iphone kitu gani, simu simu tuu bora mawasiliano
4.Siwezi kula chakula cha kwenye fridge
5.Anajifanya amesoma lakini hata haolewi
6.Siwezi endesha Vits bora nitembee kwa miguu
7.Kuolewa ni stress tuu bora nikae single
8.Microwave inaleta cancer
9.Anaendesha V8 halafu anaishi uswazi
10.Hiyo nguo anajifanya amenunua laki tatu wakati ni elfu thelathini tuu kariakoo
11.Hiyo Kazi aliipata baada ya kutembea na bosi
12.Hata kama ana degree, maisha yake sawa tuu na yetu
13.Kwani Mercedes ina miguu mitano, gari gari tuu
14.Siwezi nunua gari wakati sina nyumba
15.Anaenda gym kila siku lakini ana umbo bayaa
16.Anajifanya kuongea kizungu wakati kwao shamba tuu
17.Anaringaaa, Ataachwa tuu
18.Ana umbo zuri lakini hajui kuvaa
19.Usione amenenepa hivyo anatumia ARV
20.Hakuna jipya kwenye ndoa
ONGEZEZEA NILIYOISAHA