We unafanya TANESCO ipi boss yenye njaa?😂 Wakati mshahara Wa Secretary wa TANESCO ndo mshahara wa ENGENEER wa HALMASHAURI and likewiseTbs na tpa hawa wana mishahara mikubwa sana tanesco Kule njaa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unafanya TANESCO ipi boss yenye njaa?😂 Wakati mshahara Wa Secretary wa TANESCO ndo mshahara wa ENGENEER wa HALMASHAURI and likewiseTbs na tpa hawa wana mishahara mikubwa sana tanesco Kule njaa tu
Ukiipata, tustuane aisee.Hapana Kaka, nataka nichangamkie fursa nafasi zikipatikana.
Sawa mkuu,nawe usiache kufanya hivyoUkiipata, tustuane aisee.
Sasa halmashauri inahusika vipi tena hapo linganisha na hizo taasisi alizoorodhesha mleta mada huo mshahara wa technician wa tanesco hautofautiana sana na wa technician wa taa,kadco, tanroads na taasisi zingine kibao asa sielewi we baharia unapagawa na nini na tanescoWe unafanya TANESCO ipi boss yenye njaa?😂 Wakati mshahara Wa Secretary wa TANESCO ndo mshahara wa ENGENEER wa HALMASHAURI and likewise
Tbs na tpa hawa wana mishahara mikubwa sana tanesco Kule njaa tu
Hahah Wamekufanya nini TANESCO kwani boss iko hivi TANESCO watu wanachovimbia ni zile nights mzee na Safari hasa ukipata Transimission ulizia vizuri kuna mtu kahama TANROADS kaenda TANESCO.Sasa halmashauri inahusika vipi tena hapo linganisha na hizo taasisi alizoorodhesha mleta mada huo mshahara wa technician wa tanesco hautofautiana sana na wa technician wa taa,kadco, tanroads na taasisi zingine kibao asa sielewi we baharia unapagawa na nini na tanesco
Haina shida japo naona kipindi hiki ishu za kazi zimedelay mno kwakweli.Sawa mkuu,nawe usiache kufanya hivyo
Zimedelay mnoo ndugu, zikija kutoka ushindani unazidi maradufu ukizingatia kuna freshers waliomaliza karbuniHaina shida japo naona kipindi hiki ishu za kazi zimedelay mno kwakweli.
Ni kweli kabisa.Zimedelay mnoo ndugu, zikija kutoka ushindani unazidi maradufu ukizingatia kuna freshers waliomaliza karbuni
Safari, nights na overtime kila taasisi wanazo hasa kwa mafundi bila shaka huo utechnician tanesco ndo ajira yako ya kwanza basi unawenga sanaHahah Wamekufanya nini TANESCO kwani boss iko hivi TANESCO watu wanachovimbia ni zile nights mzee na Safari hasa ukipata Transimission ulizia vizuri kuna mtu kahama TANROADS kaenda TANESCO.
Boss mimi sio Technician Tena hata Sijui huko Vyuoni wanasomaga nini hao Technician kukutoa shaka Level yangu ni Darasa la Saba tu Pia Sio Muajiriwa,anyway Nilikuwa katika kumpa taarifa kwa kile nachokifahamu ila kama una connection fanya mpango basi huko TPA namimi nipate hata kazi ya Kukata Majani ya Bustani.Safari, nights na overtime kila taasisi wanazo hasa kwa mafundi bila shaka huo utechnician tanesco ndo ajira yako ya kwanza basi unawenga sana
No Tanroads watu huwa wanakimbia kwa sababu ya contract zao ni za muda mfupi ila kuhusu malipo yao yanafanana tu.Hahah Wamekufanya nini TANESCO kwani boss iko hivi TANESCO watu wanachovimbia ni zile nights mzee na Safari hasa ukipata Transimission ulizia vizuri kuna mtu kahama TANROADS kaenda TANESCO.
yes tanroad kwa matechnician, madereva na maengineer pako vizuri sana tatazo ajira zao za mda kama ulivosemaNo Tanroads watu huwa wanakimbia kwa sababu ya contract zao ni za muda mfupi ila kuhusu malipo yao yanafanana tu.
MKUU acha kudanganya kuna taasisi safari unazitafuta kwa tochiSafari, nights na overtime kila taasisi wanazo hasa kwa mafundi bila shaka huo utechnician tanesco ndo ajira yako ya kwanza basi unawenga sana
HAWA JAMAA VP MKUU TAEC (TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION) NASKIA WAKO VIZURI ZAIDI ?Hahah Wamekufanya nini TANESCO kwani boss iko hivi TANESCO watu wanachovimbia ni zile nights mzee na Safari hasa ukipata Transimission ulizia vizuri kuna mtu kahama TANROADS kaenda TANESCO.
Daaah aisee basi ulikuwa kibarua.... Yaani TPA pawe pachovu TPA ya wapi hii mkuu, Tanesco unawajua...aiseee we jamaaKwenye mada hii kuna chumvi nyingi sana; ukipata kazi ya kudumu kwa hizi taasisi sehemu sahihi na penye tulizo ya afya ni EWURA; ROADFUND; CAG OFFICE na kidogo TANROAD..huko sijui TANESCO sijui TPA ni kujazana tu stori za kijiweni. Nilishazunguka huko.kote kwa hizo stori nikajikuta nqbaki kushangaa tu maneno ya watu.
Mkuu sitaki nikushawishi sana make unanitajia tu hiyo TPA na TANESCO lakini ninaamini hujawahi kufanya kazi kote TPA na TANESCO. Tambua kua kuna wengine wapo wizara ya Nishati lakini wanapata mishahara ya TGS xxx lakini wanaenjoy maisha na kuingiza pesa nzuri zaidi ya hiyo TPA na TANESCO.Daaah aisee basi ulikuwa kibarua.... Yaani TPA pawe pachovu TPA ya wapi hii mkuu, Tanesco unawajua...aiseee we jamaa
NB
Taasisi ulizotaja ni kweli zinalipa vizuri ila huwezi kulinganisha TPA na office ya mkaguzi mkuu au TANROAD...
Ishu ni je unaweza toboa ukapata kazi hizo Sehemu kizembe Boss au ushawahi sikia kama wametangaza tu hata ajira Mheshimiwa hapo ndo kimbembe kilipo ko inabaki kuwa tu nadharia bora hizo nyingine mtu unaweza Kupata.Kwenye mada hii kuna chumvi nyingi sana; ukipata kazi ya kudumu kwa hizi taasisi sehemu sahihi na penye tulizo ya afya ni EWURA; ROADFUND; CAG OFFICE na kidogo TANROAD..huko sijui TANESCO sijui TPA ni kujazana tu stori za kijiweni. Nilishazunguka huko.kote kwa hizo stori nikajikuta nqbaki kushangaa tu maneno ya watu.
Sifahamu Mheshimiwa ila Almost Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati na Madini Hakuna njaa Mkuu.HAWA JAMAA VP MKUU TAEC (TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION) NASKIA WAKO VIZURI ZAIDI ?