Mishahara (Basic Salary) kwa electronics and telecommunication engineering technician, katika mashirika/kampuni hizi(TBC, TTCL, TBS, TANESCO na TPA)

Mishahara (Basic Salary) kwa electronics and telecommunication engineering technician, katika mashirika/kampuni hizi(TBC, TTCL, TBS, TANESCO na TPA)

Mishahara iko Hivi Professional engineer hawezi kulipwa sawa na muhasibu mwenye degree, mainjinia salary scale zao ni kubwa kidogo, Angalia hata halmashauri, muhasibu mwenye degree ni 700k, engineer ni 900k, Wakati DAKTARI M. O analipwa Mara 2 ya muhasibu huko halmashauri, by the way Mshahara huo wa 1,070000 kwa injinia wa tanesco ni kidogo Bado tofauti yake na injinia wa halmashauri haijazidi hata 200k,
By the way Mishahara ya SERIKALI ni kidogo sana, kuna jamaa huku kitaa kapata kazi kwenye KAMPUNI kubwa sana ya kimataifa analipwa 5,000,000/- ambayo ni Mara 7 ya mtu wa degree za social science anayeanza kazi halmashauri ,
Kingine kuna Maodita, mawakili, masaveya, wabunifu majengo, watu wa tax ambao wamejiajiri hapo mjini wanapiga hela ndefu sana hadi 30M,
 
Daaah aisee basi ulikuwa kibarua.... Yaani TPA pawe pachovu TPA ya wapi hii mkuu, Tanesco unawajua...aiseee we jamaa

NB
Taasisi ulizotaja ni kweli zinalipa vizuri ila huwezi kulinganisha TPA na office ya mkaguzi mkuu au TANROAD...
Nasikia tpa degree ni 1.3M Kama ni kweli Hiyo sio hela ya 'kutisha '
 
Mishahara iko Hivi Professional engineer hawezi kulipwa sawa na muhasibu mwenye degree, mainjinia salary scale zao ni kubwa kidogo, Angalia hata halmashauri, muhasibu mwenye degree ni 700k, engineer ni 900k, Wakati DAKTARI M. O analipwa Mara 2 ya muhasibu huko halmashauri, by the way Mshahara huo wa 1,070000 kwa injinia wa tanesco ni kidogo Bado tofauti yake na injinia wa halmashauri haijazidi hata 200k,
By the way Mishahara ya SERIKALI ni kidogo sana, kuna jamaa huku kitaa kapata kazi kwenye KAMPUNI kubwa sana ya kimataifa analipwa 5,000,000/- ambayo ni Mara 7 ya mtu wa degree za social science anayeanza kazi halmashauri ,
Kingine kuna Maodita, mawakili, masaveya, wabunifu majengo, watu wa tax ambao wamejiajiri hapo mjini wanapiga hela ndefu sana hadi 30M,
Fundi Mchundo ndo anakula hiyo Boss ila Engeneer anakula 1.6m na pia ana benefits kubwa zaidi kingine kuna Safari za wilaya na wilaya kwa week mala 2 na unaandikiwa Nights ambayo per day ni 120,000 hapo hajavuka mkoa akivuka mkoa inajumlishwa 20% ya hiyo plus madude mengine si mbaya mzee pia watu wanapenda Security jobs maana ni kweli wapo watu kwa level hiyo wanalipwa 30m ila kazi haina Security na Stress kibao na huna muda wa kufanya mambo ya ziada unakuwa mtumwa tu wa ajira miaka nenda rudi Boss akijamba tu unatetema.

Pia kuna Bias hasa hizi Taasisi za wageni Mfano mdogo kuna jamaa yangu alikuwa moja kati ya Bank ya Wakenya kama Senior Acountant yeye alikuwa anapokea kama 2.5m tu ila anaemfata cheo na same Qualification anakula mala 3 ya Mshahara wa jamaa na analipiwa kila kitu na bado anatumia Rate ya Kenya kulipwa ila jamaa akapata kazi government ya kulipwa 1.2m akahama just imagine hapo.
 
TANESCO Analamba 1,070,000 PLUS (100,000 Housing Allowance+100,000 Transport Allowance) Non Taxable.

Nights Za Kutosha Sijakuwekea Mkuu.
Nimesoma uzi hadi mwisho, nikasema nirudi tena juuu, kuandika kitu.
 
Daaah aisee basi ulikuwa kibarua.... Yaani TPA pawe pachovu TPA ya wapi hii mkuu, Tanesco unawajua...aiseee we jamaa

NB
Taasisi ulizotaja ni kweli zinalipa vizuri ila huwezi kulinganisha TPA na office ya mkaguzi mkuu au TANROAD...
Tanesco ni habari ingine aisee
 
Mbona mnataja mishahara ya kampuni mbalimbali ila sijasikia mishahara ya TPDC , Wao wakoje?
 
Mkuu sitaki nikushawishi sana make unanitajia tu hiyo TPA na TANESCO lakini ninaamini hujawahi kufanya kazi kote TPA na TANESCO. Tambua kua kuna wengine wapo wizara ya Nishati lakini wanapata mishahara ya TGS xxx lakini wanaenjoy maisha na kuingiza pesa nzuri zaidi ya hiyo TPA na TANESCO.
Wewe unadhani ukilipwa 2.5milion kwa mwezi pale TPA na ikakatwa vilivyo unawezs kulingana na wafanyakazi wa ofisi ya CAG
Mkuu kwa unavoandika naamini hujawahi kuajiriwa labda ulijitolea tu hizo sehemu, binafsi nina 11yrs nafanya kazi serikalini na ndani ya miaka hiyo nimehama na kufanya kazi katika mashirika matatu mpaka sasa hakuna kitu nisichokijuwa katika maslahi ya hizi taasisi na mashirika ya umma.

Unapotaja mashirika yanayolipa huwezi kuiacha TPA na TANESCO hata kidogo, hiyo ofisi ya mkaguzi mkuu (NAO) wanatumia scale za serikali kuu kulipa mishahara pale kuna posho na safari kwa wakaguzi hakuna zaidi ya hicho ambazo haziwezi kulinganishwa na TPA.. Nilikipata mda nitakuletea majumuisho ya hizi kwa wanachopata wanatumishi in figures

Kazi ya mtumishi yeyote yule ukiachana na majukumu yake ya kikazi ni kutaka kufahamu mtumishi mwenye elimu kama yeye katika taasisi/shirika lingine anapata maslahi kiasi gani, na hapa ndipo unapokuta mtu anahama akiwa tayari na utafiti wa kutosha.. Naamini bado hujafahamu vizuri maslahi ya mashirika na taasisi za umma
 
Mkuu kwa unavoandika naamini hujawahi kuajiriwa labda ulijitolea tu hizo sehemu, binafsi nina 11yrs nafanya kazi serikalini na ndani ya miaka hiyo nimehama na kufanya kazi katika mashirika matatu mpaka sasa hakuna kitu nisichokijuwa katika maslahi ya hizi taasisi na mashirika ya umma.

Unapotaja mashirika yanayolipa huwezi kuiacha TPA na TANESCO hata kidogo, hiyo ofisi ya mkaguzi mkuu (NAO) wanatumia scale za serikali kuu kulipa mishahara pale kuna posho na safari kwa wakaguzi hakuna zaidi ya hicho ambazo haziwezi kulinganishwa na TPA.. Nilikipata mda nitakuletea majumuisho ya hizi kwa wanachopata wanatumishi in figures

Kazi ya mtumishi yeyote yule ukiachana na majukumu yake ya kikazi ni kutaka kufahamu mtumishi mwenye elimu kama yeye katika taasisi/shirika lingine anapata maslahi kiasi gani, na hapa ndipo unapokuta mtu anahama akiwa tayari na utafiti wa kutosha.. Naamini bado hujafahamu vizuri maslahi ya mashirika na taasisi za umma
Asante Mkuu
 
Mkitaja Hiyo Mishahara ya milioni 1+ wala sio mikubwa! Mimi Nataka nijiajiri tu niwaachie nyie hii kitu inaitwa 'mshahara '
 
Back
Top Bottom