Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
Jamaa aliambiwa alete waraka but mpaka sasa hakuna taarifa zozote!!! Amekula chimbo!!!
 
Na hela za field za wanafunzi akumbuke hazijamaliziwa. ile laki 3 na kumi ishaisha long time na field bado haijaisha. mumfikishie na hilo pia.
 
Hili Bomu kubwa, Magu asipoangalia mishahara ya watumishi wa umma sote tumekwisha.
 
Alafu we mtoa mada acha kutonesha vidonda watu tulishashukuru Mungu! tangu lini mishahara ikapanda mwezi wa huu
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Watumishi wa umma kaeni mkao wa kupokea mishahara minene. Kwa muda mrefu sasa tangu Dr Magufuri aanze kurekebisha mifumo ya utawala wa nchi, watumishi wa umma walionekana kama wametengwa sana hadi baadhi yao kupelekea kukata tamaa ya maisha. Sasa mkae mtulie…mambo yenu yameiva!


Kuna taarifa kwamba Serikali imepanga kuongeza mishahara ya watumishi wa umma maradufu ifikapo September baada ya kufanikiwa kuwaondoa watumishi na wanafunzi hewa na kupunguza mishahara ya baadhi ya watumishi waliokuwa wakilipwa mamilioni ya shilingi huku wengine wakilipwa mishahara uchwara, hivyo fedha zote zilizookolewa zimeelekezwa kuongeza mishahara ya watumishi wa umma ambao wamekuwa wakilalamikia udogo wa mishahara kwa muda mrefu. Aidha, taarifa zinadai kuwa watumishi wote wanaostahili kupanda vyeo/madaraja watapandishwa na kuanza kulipwa mishahara mipya mara moja.


Ifahamike kwamba wakati Dr Magufuri anaomba ridhaa ya kuongoza nchi hii aliwaahidi maslahi bora watumishi wa umma, hivyo ahadi yake ndio inaanza kutekelezwa sasa. Kumbe lilikuwa ni suala la wakati tu. Sasa civil service imeanza kupata mwanga uliokuwa umekosekana kwa muda mrefu na kupelekea watumishi wa umma kuvunjika mioyo ya kuwatumikia wananchi. Hongerza sana Dr Magufuri kwa kuwajali watumishi wa umma.

Chochezi...
 
wewe nani?au msemaji wa serikali kwenye ajira?Kama ndivo!Mwambie kakulu kuwa WALIMU WENZAKE WANAOMBA WALAU POSHO LA KATIKATI YA MWEZI?
 
wewe nani?au msemaji wa serikali kwenye ajira?Kama ndivo!Mwambie kakulu kuwa WALIMU WENZAKE WANAOMBA WALAU POSHO LA KATIKATI YA MWEZI?
Upo sahihi kabisa. Tena afanye haraka na aondoe ubaguzi kwenye utumishi wa umma. Kuwapa maafande na madaktari tu siyo fair angetoa kwa wote ili kuondoa minong'ono na malalamiko hasa ukizingatia mwalimu ndiye aliyetakiwa hizo posho kabla ya idara nyingine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom