Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
Hahahaaaaa
Bila shaka we utakuwa ni mwalimu
Maana naona TGTS na wala siyo TGS za kada zingine
 
Hiyo Kitu Ni Ya Kweli Kabisa Kuna Jamaa Yangu Anafanya Kazi Ktk Halmashauri Flani Upande Wa LAWSON huu waraka wanao tayari na kila halmashauri kwa uhakika zaidi tafuta mtu yoyote anayefanya kazi kitengo hicho ktk halmashauri yako
mmh! ya kweli hayo?? Amekuthibitishia??au alikuzuga tuu??
 

Huyu ndiye mwenyekiti ccm jf. kweli ccm wamekosa viongozi
 


mwenyekiti wa ccm jamii forum (Proved + tetesi ) umekula maharage ya wapi wewe ndugu mwenyekiti
 
Acha dharau

Siyo dharau, vijana private company wanachukua hadi milioni tano, we laki 7, a million ,unapiga ukelele inaonyesha mtu ulivyo na njaa. Najua kama huna ajira utaziona nyingi, ukiajiliwa ukazipata ukapiga bajeti ndio utaelewa ninachokisema. Sina dharau na wala sina mshahara huo lkn kwa maisha ya leo ni ndogo
 
Hamna kitu km hicho

Ila wasiponiongeza watakua wamenishusha ari yote!
 
Acheni kutuchanganya sisi wafanyakazi. Tunachofanyia kazi ni kauli ya Rais wetu mpendwa JPM siku ya MEI Mosi kwamba kwa mwaka huu hataongeza mshahara labda mwakani. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Mxiuuuu
 
Hayo ni ya nchi ya kusadikika. Mwisho wa mwezi njoo hapa na salary slip u prove hiyo conspiracy. Wengine hatujawahi kula mshahara wa serikali
 
Hii nchi ilivyo ya ajabu, usishangae kuona mtu anapokea hiyo 500000 halafu anamiliki nyumba tano na Gari la kifahari.
 
Ndoto hazikomi.kuvimbiwa nako ni tatizo, kuharisha is an order of the day !
 
Hiyo imekuwemo humu tangu mwezi wa 6.MTU akijisikia mchafuko wa tumbo awahi chooni na sio huku jf !!!!!
 
We ni ******
 
mbona midogo sana ? kumbe private coys ni hatari
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…