Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
Mrejesho lini mkuu?...usitukimbie hapa,jina lako tunalo...
 
Mleta mada kaandika 'hii mishahara KAMA ni kweli......' cha ajabu ma GT wanamshukia mleta mada as if amethibitisha hio mishahara.
 
Sio dharau wala nini lkn binafsi sijaona mshahara wa kukenulia meno hapo hata kama ingekua ni kweli labda kwa wanawake.
1474004030291.jpg
 
Ok kumbe walalahoi ni wale waliokatwa mikono. Haya mkuu taratibu tutafika mlipo.
Ninachomaanisha ni lazima mwanaume ajishughulishe kujitafutia kipato cha ziada na sio kulalamika tuu mishahara midogo.
 
HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016

1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000

PROVED.......... HAPA KAZI TU

TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.

NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
bila makato!
 
Ninachomaanisha ni lazima mwanaume ajishughulishe kujitafutia kipato cha ziada na sio kulalamika tuu mishahara midogo.
Na mimi nilichomaanisha huo unaouona mdogo kwa mwingine ni mkubwa sana na ameridhika. Kuna mtu haridhiki na tzs 15m a month wakati mwingine akipata hio God knows.....
 
Na mimi nilichomaanisha huo unaouona mdogo kwa mwingine ni mkubwa sana na ameridhika. Kuna mtu haridhiki na tzs 15m a month wakati mwingine akipata hio God knows.....
Nimekuelewa chief ila sikuwa na maana ya kubeza bz na mimi nilianza kujikusanyia hicho hicho kidogo mpaka nilivyoweza kujikomboa japo bado cjafika napotaka lkn Mungu ni mwema napambana.
 
Tatizo ndg sio kuongeza mishahara hapa ni kuomba tu "stability of economy" meaning that hela yetu iwe na nguvu compared dollars, hata ulipwe kidogo u may survive
 
Acheni kutuchanganya sisi wafanyakazi. Tunachofanyia kazi ni kauli ya Rais wetu mpendwa JPM siku ya MEI Mosi kwamba kwa mwaka huu hataongeza mshahara labda mwakani. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Mkuu comment yako imenichekesha sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom