Ngoja Jamaa Akinipa Napiga Picha Naweka Hapa Labda Na Yeye Awe Amenidanganya
Heri yako. Sisi walalahoi hio mishahara ni mikubwa.Sio dharau wala nini lkn binafsi sijaona mshahara wa kukenulia meno hapo hata kama ingekua ni kweli labda kwa wanawake.
Mlalahoi kwani umekatwa mikono aisee. Mwanaume ukiishi kwa kutegemea mshahara tuu haifai.Heri yako. Sisi walalahoi hio mishahara ni mikubwa.
Sio dharau wala nini lkn binafsi sijaona mshahara wa kukenulia meno hapo hata kama ingekua ni kweli labda kwa wanawake.
Sio dharau wala nini lkn binafsi sijaona mshahara wa kukenulia meno hapo hata kama ingekua ni kweli labda kwa wanawake.
Ok kumbe walalahoi ni wale waliokatwa mikono. Haya mkuu taratibu tutafika mlipo.Mlalahoi kwani umekatwa mikono aisee. Mwanaume ukiishi kwa kutegemea mshahara tuu haifai.
Ninachomaanisha ni lazima mwanaume ajishughulishe kujitafutia kipato cha ziada na sio kulalamika tuu mishahara midogo.Ok kumbe walalahoi ni wale waliokatwa mikono. Haya mkuu taratibu tutafika mlipo.
bila makato!HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Na mimi nilichomaanisha huo unaouona mdogo kwa mwingine ni mkubwa sana na ameridhika. Kuna mtu haridhiki na tzs 15m a month wakati mwingine akipata hio God knows.....Ninachomaanisha ni lazima mwanaume ajishughulishe kujitafutia kipato cha ziada na sio kulalamika tuu mishahara midogo.
Nimekuelewa chief ila sikuwa na maana ya kubeza bz na mimi nilianza kujikusanyia hicho hicho kidogo mpaka nilivyoweza kujikomboa japo bado cjafika napotaka lkn Mungu ni mwema napambana.Na mimi nilichomaanisha huo unaouona mdogo kwa mwingine ni mkubwa sana na ameridhika. Kuna mtu haridhiki na tzs 15m a month wakati mwingine akipata hio God knows.....
Mkuu comment yako imenichekesha sana.Acheni kutuchanganya sisi wafanyakazi. Tunachofanyia kazi ni kauli ya Rais wetu mpendwa JPM siku ya MEI Mosi kwamba kwa mwaka huu hataongeza mshahara labda mwakani. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.