Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Ulikuwa na ban?
Hii habari ishaletwa humu!
Wewe ni mwalimu? Au nes
Hii habari ishaletwa humu!
Wewe ni mwalimu? Au nes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na hayo, alisema Serikali inaendelea na utafiti wa tathmini ya kazi na itakapokamilika, itapanga upya mishahara na motisha kwa watumishi wote wa umma ikiwamo sekta hiyo.
SOURCE:Mtanzania
[/SIZE]
Hizo billion 50 ni kwa ajili ya nini wakati wafanyakazi hewa zaidi ya 10,000 waliondolewa kazini, wengine walisuiwa kupandishwa madaraja ilihali waliokuwa wamepanda walirejeshwa kwenye madaraja na mishahara ya awali, na pia ajira mpya kusitishwa?Haaaa huo ni uongo acha kuwapa watu matumaini, acha waendelee kukipigia bajeti kile walichokizoea na vip kuhusu mishahara kutoka billion 520 hadi 570 wakati walikuwa wametoa wafanyakazi hewa.
Tuache ndoto za mchana.tutafute namna nyingine ya kuboresha vipato.hilo wazo lizike kwenye kaburi la "sahau"!!!Yeah September 2017
mtu wewe unajua kuchungulia! Umeona ndani eeh? Kam hewa 17000+ hazipo kwenye payroll na mkwere alikuwa analipa 520 bln na hewa ikiwamo na bangosha ameovrexceed hiyo up to 570bln bila hewa. Ni nini kimetokea katika ukokotozi huu? Zingatieni hakuna ajira mpya wala replacement yoyote iliyofanyika. Kwa maana hiyo maelezo ya kina ni muhimu juu ya hiyo ziada ya 20bln hapo inakovujia. Vinginevyo panya watabaki kuwa panya na yabia yao ya uharibifu itabaki kuwa ileile.Hizo billion 50 ni kwa ajili ya nini wakati wafanyakazi hewa zaidi ya 10,000 waliondolewa kazini, wengine walisuiwa kupandishwa madaraja ilihali waliokuwa wamepanda walirejeshwa kwenye madaraja na mishahara ya awali, na pia ajira mpya kusitishwa?
Anzani kubuni shughuli za kufanya mshahara mil moja kwa mwezi unafurahia?wakati mkulima wa matikiti anapata mil 10 kwa heka moja kwa miezi miwili
Kama mishahara itaongozwa kwa sababu hizo, Jee maisha yakiboreka kiasi kufanya mianya ya maisha kupotea mishahara ipunguzwe?????. Ninavyoelewa mishahara ni matokeo ya tija ipatikanayo kutokana ufanisi wa kazi. Jee humu kwenye mashirika yetu ambayo tunatumia saa 1 kunywa chai asubuhi, tunatumia saa 1 kusoma magazeti ya siku, tunatumia saa 1 kuzungumzia mambo ya jana[hasa siku ya jtatu], tunatumia saa 1 ku-brouse, tunatumia saa 1 kwenda lanchi. Hivi mwisho wa siku tunatarajia nini???Hivi ikiongelewa mishahara inawataja walimu na kada ya afya tuu. Je, watumishi wengine hawafanyi kazi tena ngumu sana zinazohitaji kutumia akili kudeal na pyschosocial problems?
Je, mishahara itaongezwa kuziba mianya ya maisha tunayoikabili ili kuweza kufikia malengo ya nchi na ya mtu mmoja mmoja?