Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
hakuna kitu kama hicho,sijui umetoa wapi
 
Kwa bajeti ipi iliyopitishwa na bunge, itakuwa ni kuingilia muhimili mungine wa dola
Hivi kila kitu kipitishwe na bunge... Mbona huulize kwanini bunge wasiingile hilo tatizo la wafanya kazi hewa, au wakati Raisi anaingilia suala la wafanyakazi hewa mbona hamku sema hilo suala halikujadiliwa bado bungeni na anaingilia muhimili wa dola?
Tukae kwanza tuangalie kama hili suala litakua la kwali,
 
niliwahi kupita sehemu nikamkuta kichaa kalala na ilivyoekekea alikuwa kwenye usingizi mzito,hata hivyo cha ajabu alikuwa anatabasamu Mara kwa Mara.Hii ikanikumbusha kuwa wote huota njozi/ndoto.
 
Kwa bajeti ipi iliyopitishwa na bunge, itakuwa ni kuingilia muhimili mungine wa dola
Kwani wabunge ndio hutupangia mshahara? Kwa taarifa yako serikali ndiyo hupanga mishahara na bajeti yote ya serikali. Bunge kazi yake ni kuidhinisha tu na likikataa kuidhinisha raisi huvunja bunge na uchaguzi mkuu mpya kufanyika ndani ya miezi 6.

Hivyo bunge litaidhinisha baadaye huku mishahara ilishapanda kuanzia siku ya tarehe 1 Septemba, siku ambayo wengine watakuwa barabarani wakichapwa virungu vya washawasha! Siasa mchezo mtamu na mchungu at the same time if you know how to play it.
 
Usitegemee mtumishi wa umma kuandamana siku hiyo.
Hayupo na hatapatikana
 
Kindly let me confirm your thread is true I think all of us we will praise Dr Magufuli. kutokusafiri nakukaa ikulu muda mrefu ni siri ya hayo uio andika
Kama ni kweli ni jambo jema. Lakini Septemba Mosi kwa maana Mshahara utatoka mwishoni mwa Sept au Mwanzoni mwa Oktoba, maana wa mwez wa nane watumishi walishapokea na ulibaki kama ulivyo.
 
Hadi nione pesa ikiwa kwenye akaunti, vinginevyo Porojo tu. Pia niitoe niihesabu ndio niamini
 
Mkuu tpaul hiyo hela yenyewe ya kuongeza mishahara mara mbili itatoka wapi? Ni jambo zuri kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa umma hata mara tatu, lakini Serikali hii haina pesa na mapato ya Serikali yanaanguka kwa kasi ya kutisha labda wakaombe mkopo mwingine wa trilioni kadhaa Exim Bank ya kule China ili waweze kufanya hivyo.
 
Mhh sasa mbna kutakua na mbanano wa matukio mengi sana hio tarehe moja
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…