Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Nadhan hauna uhakika kama kweli serikali haina fedha zaid ya stori za vijiweni.sahau hiyo mdau serikali taabani kifedha halafu wafanye hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhan hauna uhakika kama kweli serikali haina fedha zaid ya stori za vijiweni.sahau hiyo mdau serikali taabani kifedha halafu wafanye hivyo?
ile habari ya uchumi kushuka imewashtua Lumumba wameanza kuhahahivyo vijikaratasi niliviona havina alama zozote za kiserikali ili kuonesha kweli ni original. ni kama watu wameprint hivi kimagumashi
Sio kweli, kakudanganya huyo mtuHiyo Kitu Ni Ya Kweli Kabisa Kuna Jamaa Yangu Anafanya Kazi Ktk Halmashauri Flani Upande Wa LAWSON huu waraka wanao tayari na kila halmashauri kwa uhakika zaidi tafuta mtu yoyote anayefanya kazi kitengo hicho ktk halmashauri yako
Uzuri kapost nnjanga,imbombo jhilipo naloriImbombo ngafu,tuwe wavumilivu tu! No way.
Kipi ni kipi waraka umetoka siku ya ijuma inaanza kutumika September 2016 halafu hapohapo ni tetesi sijathibitisha.HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Hili neno kudhibitisha mnavyotumia kama kuthibitisha linakera kwa kweli.Mnavyoandika neno lijueni mzizi wa hilo neno kabla.HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Hahahahahahaha! Hatudanganyiki limeseji la zamani hilolimeseji limezunguka tangu mwezi wa sita hilo
Kuna wastaafu wamestaafu April kuja juu hawajalipwa mafao yao mpaka leo kupitia Mfuko wa PSPF kisa Serikali haijawalipa madeni yao wanayoidai.Pensheni ya wazee walio stahafu na wanaolipwa kila mwezi sasa hivi ni mwezi 3 serekali imeshindwa kuwalipa
Jipange kivingine Mkuu! Usipoteze muda wako kujadili yasiyokuwepoHABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
haha dah kweli kanyegeshaumejitahidi kunyegesha watu
sawa mkuu akirudi mnipitie na mimiTetesi: Nimesikia Yesu anarudi Sept. mwishoni... tujiweke tayari.. ! tetesi ! wtf.... aaaaaarrrgggghh..##%&-$¶©®√Π×}{]=><©¢£××Xxxxxxxx
ukawa ikaja ukiwa ikaja ukuta saiv hadi kodi ya pango hamna kama ccm itakufa bas chadema maiti iliyobaki mifupa kbs,wote wale wale sema magufuli afadhali...ccm ,ukiwa tupa kuleACHA AKILI TOPE HAKUNA KITU KAMA HICHO HII NCHI HAINA PESA NA MISHAHARA HIYO ITAONGEZWA KUPITIA BAJETI GANI,? CCM IMECHOKA HAKUNA JIPYA ZAIDI YA MATAMKO