Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
It is better to have a clear rejection rather than a fake promise
 
Asa mnachoamini ni kipi...ngoja bas itoke nyingine ya mishahara midogo zaidi ya hio. Nayo mtasemaje sjui, utasikia tunanyooshwa mara hapa kazi tu mara maisha magum mara tunanyongwa mchana kweupe...na maneno kibao
 
atoe kazi kwanza na haruhusu ajira zetu alizoshikilia mkononi mpka leo
 
Hivi watu ambao huwa wanavumisha haya mambo hawafahamu kuwa matumizi ya serikali ni lazima yawe yameidhinishwa na Bunge? Je, kama Bunge katika bajeti ya 2016/2017 halikuidhinisha bajeti yenye ongezeko la mishahara, fedha za kuongeza mishahara katikati ya mwaka wa fedha zinatoka wapi? Kabla ya kuandika unakuwa umejiuliza swali hili?? Na hata kama ingekuwa ni kweli, mbona ulichoweka ni karibia hicho hicho kinacholipwa kwa sasa? mabadiliko yako wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom