92mtl
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 459
- 308
Wandugu hili gazeti linaonesha tetesi kuhusu mishahara mipya ya watumishi na linadai kuwa kuna waziri alilizungumzia jana bungeni mliokua karibu na TV, je kuna ukweli wowote ktk hili je range hiyo ya mishahara ina weza kuwa kweli au ni ndoto za mchana?
Naambatanisha picha
Naambatanisha picha