jmi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 532
- 468
HAJIRA ni nini-!!??mbona hajira hamna..analipwa naniii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAJIRA ni nini-!!??mbona hajira hamna..analipwa naniii
Eti anaomba kazi ya ualimu huyo!!(H)una(H)ajiriwaje kama hujui hata ku(H)andika?
(ii) (a)bari (a)ituusu!!!!!!Muhache pengine hanatutetea tusiho na hajira [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akili ndogo inaongaza kubwaDiploma inapoizidi degree ndio shida
so uwe na umri wa miaka 9 kazini.Nijuavyo mimi sio miaka 55 kama ulivyonaliri kwa mtoa comment hoja ya msingi ni kupanda madaraja kwa wakati mfano Mwl akitoka Daraja D yenye 716000 kwenda E kitu kama 940000 (sina uhakika) kila baada ya 3yrs, sasa Mwl huyu assume alianza kazi na miaka 25-26(ndio umri wa walimu wengi toka vyuo vikuu) kabla hata hajafikisha miaka 35 atakua amefikia Dara F na atalipwa kwa viwango vya Daraja F kikubwa ni kupanda kwa madaraja kwa wakati ndiko kunakowaumiza walimu au kuwafurahisha
Sipati picha kamili endapo huyu jamaa atakuwa mwalimu wa kiswahili... Ataharibu sana lugha huyuHuo ni mfano mdogo tu wa graduates wengi waliopo mtaani, kwanza serikali ina huruma sana kuajiri watu wenye uwezo wa aina hiyo (japo sio kigezo cha uelewa wa mtu)
Miaka 6 sio 9so uwe na umri wa miaka 9 kazini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , watu mnautani wa ngumiSasa kama Hajira unayo si Hutulie Hunahaha nini?
May be it's possible!
Magufulindo walewale wa muujiza= Muugiza[emoji2]
Muuguzi anaelipwa million 1 ni mwenye degree, wale wenye diploma ni 680000 imagine Hawa wa diploma anatofautiana na Mwl mwenye degree 36000 sababu mwalimu wa degree anaanza na laki 716000
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
The issue sio ww kutaka mkuu game la medicine sio lakitoto huez compare izo professional kabsa ndio maana ata nchi zilizoendelea madaktari wanalipwa ela ndefu
Sasa ungeendelea kunyamaza ungepungua nn...watu wengne bwaanawanalipwa ela ndefu? ela, ela, ela bora Dr Magufuli asiajiri, Hivi humu jukwaani usipochangia unapigwa bani? Kama siyo yanini uongee uharo? Kukaa kimya siyo UJINGA