Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Duuh!Wapo wanaopokea kiasi hicho ni itategemea na kupanda daraja na uzoefu pia kazini mfano mwl aliyefundisha akifikia umri kuanzia 55 anapata mshahara huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh!Wapo wanaopokea kiasi hicho ni itategemea na kupanda daraja na uzoefu pia kazini mfano mwl aliyefundisha akifikia umri kuanzia 55 anapata mshahara huo
Waziri alikuwa anajibu swali aliloulizwa kuhusu kada hizo ya ualimu na afya na siyo kada zote..Mbona sjaona ya ma engineer hapo ina mana hawana umuhimu kwenye serikali ?
Mbona sjaona ya ma engineer hapo ina mana hawana umuhimu kwenye serikali ?
(H)anataka (h)ajue mishahara ya nini[emoji2] [emoji3](H)una(H)ajiriwaje kama hujui hata ku(H)andika?
Muhache pengine hanatutetea tusiho na hajira [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa kama Hajira unayo si Hutulie Hunahaha nini?
Magufuli ashasema hakuna hajira mpaka wafanyakazi hewa HaisheMuhache pengine hanatutetea tusiho na hajira [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wandugu hili gazeti lina onesha tetesi kuhusu mishahara mipya ya watumishi na lina dai kua kuna waziri alilizungumzia jana bungeni mlo kua karibu na tv je kuna ukweli wowote ktk hili je range hiyo ya mishahara ina weza kua kweli au ni ndoto za mchana?
naambatanisha pichaView attachment 399871
Nijuavyo mimi sio miaka 55 kama ulivyonaliri kwa mtoa comment hoja ya msingi ni kupanda madaraja kwa wakati mfano Mwl akitoka Daraja D yenye 716000 kwenda E kitu kama 940000 (sina uhakika) kila baada ya 3yrs, sasa Mwl huyu assume alianza kazi na miaka 25-26(ndio umri wa walimu wengi toka vyuo vikuu) kabla hata hajafikisha miaka 35 atakua amefikia Dara F na atalipwa kwa viwango vya Daraja F kikubwa ni kupanda kwa madaraja kwa wakati ndiko kunakowaumiza walimu au kuwafurahishaKweli walimu ni wito yaani kufika tarakimu 7 uwe na umri wa 55+ sasa hapo si kuelekea kustaafu.
Nawapenda sana walimu wangu mlionifundisha pigeni Mungu atawalipa tu...
Diploma inapoizidi degree ndio shida
Wataje walimu wasiofanya kazi acha kulopoka lopoka Vila vielelezo Taja tuwajue Otherwise mshukuru Mwl wako kwan ni jitihada zake ndio zimewezesha mimi na wewe kukaa hapa kuwa kashifu if kwa taaluma ya uandishi waliyotuzawadiaNITAITISHA MAANDAMAO KAMA SISI SERIKALI KUU TUTAENDELEA KULIPWA KIDOGO HIVI KULIKO MANESI NA WALIMU..YAANI WALIMU WANAKULA UPEPO HIVI WAKATI ASILIMIA 50% YAO HAWAFANYI KAZI.HAWA NDO WNASABABISHA MH RAIS ASITE KUTUAJILIA WATU WA NYONGEZA
Wanalipwa wenye cheki number mkuumbona hajira hamna..analipwa naniii
Hahahahahahaha (muhajiriwa hajui kuhandika) mweh!!!mhajiriwa hajui kuhandika
mbona hajira hamna..analipwa naniii
Huu ni ubakaji wa habari.hakuna kitu kama hicho.Kubwa zaidi alilozungumza waziri ni kuwa serikali inafanya UTAFITI WA TATHIMINI YA KAZI ili iweze kuwapanga watumishi na kuwapa mishahara wanayostahili.na katika hili hajasema kama tathimini imeshafanyika au la, na kama tathimini imefanyika hakusema kama utafiti WA hiyo tathimini umeshaanza au kama umeanza utaisha lini !!!!wandugu hili gazeti lina onesha tetesi kuhusu mishahara mipya ya watumishi na lina dai kua kuna waziri alilizungumzia jana bungeni mlo kua karibu na tv je kuna ukweli wowote ktk hili je range hiyo ya mishahara ina weza kua kweli au ni ndoto za mchana?
naambatanisha pichaView attachment 399871
Hapo kwenye "analipwa" ulipaswa kuandika "hanalipwa" nani?mbona hajira hamna..analipwa naniii