(H)una(H)ajiriwaje kama hujui hata ku(H)andika?mbona hajira hamna..analipwa naniii
Kumbe makusudi? Mbona hapa umeandika vizuri? Anakukumbusha kuandika angalau kwa usahihi ili ueleweke.kushindwa kuandika.kwani hapa ni kwenye mtihani..kukosoa unajiona mjanja..hapo nawe unajiona mgunduzi..mwenzako ajira ninayo
Wanapokea baada ya kupanda madarajasijui lini walimu wataanza pokea mishahara yenye tarakimu saba eg; 1,000,000/=
1.2Mbona sjaona ya ma engineer hapo ina mana hawana umuhimu kwenye serikali ?
(H)una(H)ajiriwaje kama hujui hata ku(H)andika?
i think apo kwenye serikali kuu ndio ime combine taaluma za wahandisi na taaluma nyinginezoMbona sjaona ya ma engineer hapo ina mana hawana umuhimu kwenye serikali ?
Wapo wanaopokea kiasi hicho ni itategemea na kupanda daraja na uzoefu pia kazini mfano mwl aliyefundisha akifikia umri kuanzia 55 anapata mshahara huosijui lini walimu wataanza pokea mishahara yenye tarakimu saba eg; 1,000,000/=
Kweli walimu ni wito yaani kufika tarakimu 7 uwe na umri wa 55+ sasa hapo si kuelekea kustaafu.Wapo wanaopokea kiasi hicho ni itategemea na kupanda daraja na uzoefu pia kazini mfano mwl aliyefundisha akifikia umri kuanzia 55 anapata mshahara huo
Umenichekesha sana Mdau... Eti hajira??? Kama waajiriwa wenyewe ndo hao bora serikali iendelee kukaa kimya tu.. Maana kuna uwezekano ikaajiri waajiriwa hewa.(H)una(H)ajiriwaje kama hujui hata ku(H)andika?
Sasa kama Hajira unayo si Hutulie Hunahaha nini?kushindwa kuandika.kwani hapa ni kwenye mtihani..kukosoa unajiona mjanja..hapo nawe unajiona mgunduzi..mwenzako ajira ninayo
Huo ni mfano mdogo tu wa graduates wengi waliopo mtaani, kwanza serikali ina huruma sana kuajiri watu wenye uwezo wa aina hiyo (japo sio kigezo cha uelewa wa mtu)Umenichekesha sana Mdau... Eti hajira??? Kama waajiriwa wenyewe ndo hao bora serikali iendelee kukaa kimya tu.. Maana kuna uwezekano ikaajiri waajiriwa hewa.