ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Naona self attack lini tutakuwa great thinkers kwani mtu ukijibu jibu sahihi shida nini mfano ukasema 1368000 si basi inaonekana na itamfaidi hata mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
point ni kwamba nina asilimia kubwa ya kupata nafasi kote. so i wanted to know salary scale ya izo taasisiNdugu,nafasi ndo kwanza zimetangazwa halafu wewe ushapata tiyari? 😀😀😀au ni makosa ya kiuandishi?
wabongo wanashida brooNaona self attack lini tutakuwa great thinkers kwani mtu ukijibu jibu sahihi shida nini mfano ukasema 1368000 si basi inaonekana na itamfaidi hata mwingine
nonsencelaki tatu na robo
hujajibu swaliWaliopata kazi huko hata siku moja hawajitangazi iyo labda pccb saccos
wapi kuna ulaji apodadeki yani umesha pata kazi ata deadline ya tangazo bado kweli maisha ayafanani hongera tumia fursa ila kuwa mwema sana
ajìra zipo kwa watu mkuu.. tafuta watuDuh ushapata ajira kabla ya interviews
wewe hujui kituUnapataje kazi harafu usijuwe mshahara ni kiasi Gani. Kwani Barua yako ya offer haijataja kiwango Cha mshahara
pccb na uhamiaji..Taasisi ya pili ni ipi
sijajua aiseeKwani IO anapata ngap na AIO anapata ngap?
sawasawa
nonsensenonsence
Sina jibu la swali hewahujajibu swali
Sina jibu la swali h
kaa apo apoSina jibu la swali hewa
Nenda uhamiaji.pccb na uhamiaji..
swali ni wapi kuna maokoto
sawasawaNenda uhamiaji.
Jitahidi uongeze elimu ukiwa uhamiaji hadi uwe na masters utanishukuru.
Kweli sijui kitu kama hicho maana sijawahi kupata kazi harafu nisijuwe nitalipwa kiasi Gani, manaa Barua tu ya kuniita kazini itaeleza maslahi yangu yote😄😄😄wewe hujui kitu
nzuri iyoKweli sijui kitu kama hicho maana sijawahi kupata kazi harafu nisijuwe nitalipwa kiasi Gani, manaa Barua tu ya kuniita kazini itaeleza maslahi yangu yote😄😄😄
Vipi mzee hali yakoOya mzee vp mwaka Jana hukutoboa?? Na je unaweza ukaitwa hata kama kozi haipo pale kwenye Tangazo.