Mishahara ni hongo ya kufanya watu waamini tofauti na na wanavyo amini

Mishahara ni hongo ya kufanya watu waamini tofauti na na wanavyo amini

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Inaaminika kwamba mishahara watu wanayo lipwa ni hongo ya kuwafanya watelekeze Ndoto zao na waanze kutekeleza ndoto za wale wanao wapatia mishahara.

Hii inapata Nguvu kwa sababu Msomi au mtu yoyote yule yuko tiyari aajiriwe kwenye duka la kuuza nguo lakini hayuko tiyari kufungua kibanda chake cha kuuza nguo.

Msomi yuko toyari aajiriwe kwenye kama mwalimu na mwenye shule lakini hawezi anzisha yake.

Hivyo mishahara ni hongo za kufanya watu waamuni kwamba Dream zao zina makosa na Dream za wale wanao walipa ndo ziko sahihi.

Bila mishahara watu wasinge neglect Dream zao.
 
Hivi unahisi dunia nzima watu wanaweza kujiajiri na wasiwepo wakulipwa mshahara mkuu? Huwezi badili hii dhana duniani, kama wewe una biashara yako unapata hela na aliyeajiriwa anapata hela itoshe tunakutana sokoni wote kununua mahitaji. Mnawakandia sana waajiriwa asee.
 
Hivi unahisi dunia nzima watu wanaweza kujiajiri na wasiwepo wakulipwa mshahara mkuu? Huwezi badili hii dhana duniani, kama wewe una biashara yako unapata hela na aliyeajiriwa anapata hela itoshe tunakutana sokoni wote kununua mahitaji. Mnawakandia sana waajiriwa asee.
Hahaaaa yaani kama ni Kombola basi limepiga penyewe.
 
Hivi unahisi dunia nzima watu wanaweza kujiajiri na wasiwepo wakulipwa mshahara mkuu? Huwezi badili hii dhana duniani, kama wewe una biashara yako unapata hela na aliyeajiriwa anapata hela itoshe tunakutana sokoni wote kununua mahitaji. Mnawakandia sana waajiriwa asee.
Point
 
Hahaaaa yaani kama ni Kombola basi limepiga penyewe.
Ishu sio makombora mkuu, jiulize watu wangapi wameajiriwa lakini wana maisha mazuri kuliko wewe?

Acha kukariri na vimiradi vyenu vya kuku hivyo boss. Maisha ni kuchagua, mwingine kaajiriwa lakini yuko so happy na kazi yake na mshahara wake, anatunza familia yake anaweka akiba yake sawa tu na wewe una miradi yako lakini kila siku presha, nani afadhali sasa?

Ukiwa na choice yako usilazimishe iwe kwa kila mtu na isiwe sheria!
 
Utajiajiri vipi bila mtaji? Au hiyo shule na duka la nguo utavianzishia hewani? Watu wamesoma ndiyo, wanatamani kujiajiri ila tatizo ni mtaji.
 
tehetehe ngoja wahanga waje utawajua tu kwa coment zao
 
Ishu sio makombora mkuu, jiulize watu wangapi wameajiriwa lakini wana maisha mazuri kuliko wewe?

Acha kukariri na vimiradi vyenu vya kuku hivyo boss. Maisha ni kuchagua, mwingine kaajiriwa lakini yuko so happy na kazi yake na mshahara wake, anatunza familia yake anaweka akiba yake sawa tu na wewe una miradi yako lakini kila siku presha, nani afadhali sasa?

Ukiwa na choice yako usilazimishe iwe kwa kila mtu na isiwe sheria!
chasa kagonga penyewe,
 
Ishu sio makombora mkuu, jiulize watu wangapi wameajiriwa lakini wana maisha mazuri kuliko wewe?

Acha kukariri na vimiradi vyenu vya kuku hivyo boss. Maisha ni kuchagua, mwingine kaajiriwa lakini yuko so happy na kazi yake na mshahara wake, anatunza familia yake anaweka akiba yake sawa tu na wewe una miradi yako lakini kila siku presha, nani afadhali sasa?

Ukiwa na choice yako usilazimishe iwe kwa kila mtu na isiwe sheria!
ndo unavyo jidanganya eti yuko so happy, hahahaa utumwa huo, je ana maamuzi binafisi? anaweza amua leo asiende kazini? acha kujipa moyo
 
Ishu sio makombora mkuu, jiulize watu wangapi wameajiriwa lakini wana maisha mazuri kuliko wewe?

Acha kukariri na vimiradi vyenu vya kuku hivyo boss. Maisha ni kuchagua, mwingine kaajiriwa lakini yuko so happy na kazi yake na mshahara wake, anatunza familia yake anaweka akiba yake sawa tu na wewe una miradi yako lakini kila siku presha, nani afadhali sasa?

Ukiwa na choice yako usilazimishe iwe kwa kila mtu na isiwe sheria!
ndo unavyo jidanganya eti yuko so happy, hahahaa utumwa huo, je ana maamuzi binafisi? anaweza amua leo asiende kazini? acha kujipa moyo
 
Back
Top Bottom