CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Inaaminika kwamba mishahara watu wanayo lipwa ni hongo ya kuwafanya watelekeze Ndoto zao na waanze kutekeleza ndoto za wale wanao wapatia mishahara.
Hii inapata Nguvu kwa sababu Msomi au mtu yoyote yule yuko tiyari aajiriwe kwenye duka la kuuza nguo lakini hayuko tiyari kufungua kibanda chake cha kuuza nguo.
Msomi yuko toyari aajiriwe kwenye kama mwalimu na mwenye shule lakini hawezi anzisha yake.
Hivyo mishahara ni hongo za kufanya watu waamuni kwamba Dream zao zina makosa na Dream za wale wanao walipa ndo ziko sahihi.
Bila mishahara watu wasinge neglect Dream zao.
Hii inapata Nguvu kwa sababu Msomi au mtu yoyote yule yuko tiyari aajiriwe kwenye duka la kuuza nguo lakini hayuko tiyari kufungua kibanda chake cha kuuza nguo.
Msomi yuko toyari aajiriwe kwenye kama mwalimu na mwenye shule lakini hawezi anzisha yake.
Hivyo mishahara ni hongo za kufanya watu waamuni kwamba Dream zao zina makosa na Dream za wale wanao walipa ndo ziko sahihi.
Bila mishahara watu wasinge neglect Dream zao.