Acha kuongea nadharia mkuu, katika wajasiriamali wote ni percent ngapi wapo Forbes..., na wajasiriamali wangapi baada ya kulipa overheads wanabaki na minus (madeni)?
Unajua kitu kinaitwa opportunity cost ?, turudi scenario ya chuo, kufungua chuo (kwa lecturer) ambaye kama demand yake kubwa anaweza akafundisha part time (which is effective na which is efficient) kumbuka kufungua chuo hauhitaji kuwa lecturer, ila lecturer (ambaye capital yake ni ujuzi wake) anachofanya wewe huwezi kufanya..., anaweza akauza skills zake na bado part time ukamlipa per hour au contract akufanyie wewe kazi..., Mwisho wa siku being wealth ni matumizi yako bila kujinyima yasizidi mapato yako, na hao kina Mohamed Enterprises usidhani input wanayoweka ni kidogo (they work hard ku-maintain their assets) pia sio kila mfanyakazi hana mradi, kuna mwingine yupo kazini ila portifolio yake ana nyumba za kupangisha na shares kwenye hao ambao wapo Forbes List....
Usikariri mkuu, kuwa na Business sababu tu una Business hata ama haizalishi ni liability