LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Mishahara kutoka tarehe 20 mbona ni kawaida tangu enzi za jk hasa kama mbeleni kuna sikukuu mishahara huwahi kutoka? Ila kuna taabu yake, wiki mbili unaisha na bado wiki mbili mbeleni ngumu unaenda kukakabilana nazo. Labda ni ajabu kwa sekta binafsi mshahara kutoka tarehe 20 watu wakale sikukuu