Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaonidai njoeni sasaHakika mama amesikia kilio cha watumishi kwa kuwalipa mshahara mapema kabla ya sikukukuu ya eid, ama kwa hakika mama anaupiga mwingi.
Watumishi tumieni vizuri mishahara yenu na nawatakia waislamu wote sikukuu njema ya eid el fitri.
Ujinga wao uko wapi!?Watanzania ni wajinga
Kila mtu alambe asali kulingana na ukubwa wa kijiko chakeBinadamu bana,unakuta mtu anawacheka wapokea mishahara lakini wakati huo ana kijibiashara chake anategema hao hao waje wamuungishe..
AahahhaaaIkifika tar 2 mshahara umeisha unaanza kukopa dukani kwa mangi
Serikali haina dini haipaswi kufanya maamuzi kwa misukumo ya kidini. Tatizo la kuwa na viongozi dhaifu kama hawa wa sasaPasaka ilikuwa tar 9 so ulitaka mshahara utoke tar 8?
Xmass mshahara unatoka kabla ya ya tar 23. Acha chuki
🤣Bilioni 6 zitatumika kwenye maandalizi.
Unatzka washerehekee kwakutumia pesa gani wakati mshahara ndio kipato chao.Ukiona sikukuu unasherekea kwa kutegemea pesa ya mshahara kaa ujitafakari upya
Udini umekutia upofu.Serikali haina dini haipaswi kufanya maamuzi kwa misukumo ya kidini. Tatizo la kuwa na viongozi dhaifu kama hawa wa sasa
[emoji3][emoji3][emoji3]Watatusumbua bar hawa,bora ingechelewa
MSHAHARA WA MLINZI AU?Mshahara wenyewe laki2