Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Wakenya wanatupiga gap sana tu!! Kuanzia kwa watawala mpaka kwa sisi raia, wenzetu wako vizuri. Hapa kwetu jamaa mmoja alijitapa eti ataweka kadharani salary slip yake mpaka kesho hajawahi kusema tena!!
Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, dogo!