Ww n mpumbavuRais hana mshahara. Yeye kama yeye ni pesa na ndiyo maana hata taswira za marais huwekwa kwenye pesa. Utamlipaje mtu kwa pesa yake mwenyewe? Anakua tuu anahudumiwa kila kitu atakacho kiwe au kifanyike. Ukiona rais anajilimbikizia mali, basi huyo ni tamaa tuu ya mali. Kwanza mtu akishakuwa rais kamwe hawezi lala njaa au kupata sonona ya pesa mara baada ya ku staafu kwani mifumo iliyopo tuu inatambua ahudumiwe vipi hadi anaingia kaburini
Dah ukimuita mkumbo wa 2007 anaweza kumkataa mkumbo huyu wa sasa bungeni 😂Inabidi kwanza tuachane na utaratibu wa wabunge kujiidhinishia maslahi yao wenyewe; hii haiendani na mantiki yeyote ya kawaida, achalia mbali utawala bora!
Na posho Kali kwa siku, laki 6 ,naam !Sasa hivi mps wanakula 18m per month
Dah!!!Hata akipewa kidogo, anajua zingine ataiba.
walijiongezea kimya kimya? mara ya mwisho si ilkuwa 12/13M TZSSasa hivi mps wanakula 18m per month