Mishahara ya viongozi wa Tanzania


Mimi naamini wako wengine, kwa lugha ya mtaani, wanamsanif! They can't be for real!!!

Kuna wakati ( alipokuwa akiandamwa Masha) nilimshauri kuwa he (kama ni he) is not doing them any favours kwa kusema kuweka wazi ukaribu wake. Hakunielewa. Akadai namuonea wivu! Mtu ambae hata simjui!

Sasa amekuja na hilo la katiba! Worse still ( kwa mtazamo wangu) ni hapo anaposema yeye ana facts on the ground kwa hiyo tuziamini kuliko hiyo Act ambayo anakiri hajaisoma! Lord have mercy!

Lakini huu ndiyo uzuri wa www. It is a jungle! Enter at your own risk.

Amandla........ Boss!

Juha Fundi Mchundo!
 

Amandla........ Boss!

Juha Fundi Mchundo!

We juha,

Wewe Fundi ndio una ma house girls ndani, unaowabinjukia. Nitakuwaje mimi bosi? Mimi huku Marekani ma house girls hawamudiki na kazi za maboxi.

Just a quick follow up: Ulisamehewa kwenye PM ?
 
We juha,

Wewe Fundi ndio una ma house girls ndani, unaowabinjukia. Nitakuwaje mimi bosi? Mimi huku Marekani ma house girls hawamudiki na kazi za maboxi.

Just a quick follow up: Ulisamehewa kwenye PM ?

Kumbe ndiyo nyinyi mnaowahangaisha wake zetu wakati tuko busy na mahausgel! Maana hawataki maboksi yao wabebewe na mwingine! Mara Kuhani anavyoyajulia maboksi!!!

Inawezekana kuwa natembea kwenye thin ice lakini sijawahi kuambiwa kuwa nimekosea na wakubwa. Wanajua ninawaheshimu. For real.
 
1
. Mimi naamini wako wengine, kwa lugha ya mtaani, wanamsanif! They can't be for real!!!

anayesanifiwa kuanzia hapa JF, mpaka kwenye real life anajulikana sina sababu ya kusema wala kurudia, maana ni aibu kubwa sana unapofikrii unajua kumbe ni zero watu wanakucheka, nomaaaa!!!!!!!kichizi!

2
. Kuna wakati ( alipokuwa akiandamwa Masha) nilimshauri kuwa he (kama ni he) is not doing them any favours kwa kusema kuweka wazi ukaribu wake. Hakunielewa. Akadai namuonea wivu! Mtu ambae hata simjui!

Binadamu aliyejaa chuki na wivu, pamoja na roho mbaya huwa ni matatzio ya ukoo na record zipo mkuu kuwa unafuata nyayo tu, Masha ni rafiki yangu sana mkuu sasa pasuka! Eti hunijui mimi siku hizi ukiniona mbona unaangalia chini? Unafiki unafiki sasa forum imekuumbua, ngoja nikuambie siku niliyokujua rasmi kuwa ni nani, siku uliposema Playland ni uwanja unaitwa Regional mwenyewe ukaniambia, ndio maana toka ile siku huwa ninakukalia mbali sana kwenye real life you know that, bwa! ha! ha! ha! ah!

3.
Sasa amekuja na hilo la katiba! Worse still ( kwa mtazamo wangu) ni hapo anaposema yeye ana facts on the ground kwa hiyo tuziamini kuliko hiyo Act ambayo anakiri hajaisoma! Lord have mercy!

Nimeweka ukweli ninaouona na ninaoujua na wananchi wengi wameelewa, kuwa wewe una chuki na wivu na hao viongozi ndio maana unahangaika na maneno mengi ya sumu za nyoka, lakini hubadili ukweli, naomba unionyeshe waraka wako wa katiba unaosema kuwa hawa wastaafu wanatakiwa kupewa madakitari wa binafsi, kwa sababu mmoja wa Mawaziri Wakuu wastaafu ameajiri mpaka mtoto wake kama dakitari wake, na analipwa na serikali kwenye package ya mafao, usiyoyajua ni kama usiku wa giza! dawa ni kunyamaza upewe darasa!

4.
Lakini huu ndiyo uzuri wa www. It is a jungle! Enter at your own risk.
Amandla........ Boss!, Juha Fundi Mchundo!

JF haiwezi kuharibiwa na matatizo yenu ya duni na ukabila, hapa ni hoja na sio urafiki wa unafiki hautusumbui kabisa hapa, hatutishiki wala kubabaika na maneno ya low minds, hilo jina ndilo hasa linalikufaa mkuu maana nimewahi kumsikia mtu wako wa karibu sana akikuita hilo jina na sababu ninaweza kuzisema hapa ikibidi lakini sio leo!

Ahsante Mkuu.
 
We juha,

Wewe Fundi ndio una ma house girls ndani, unaowabinjukia. Nitakuwaje mimi bosi? Mimi huku Marekani ma house girls hawamudiki na kazi za maboxi.
Just a quick follow up: Ulisamehewa kwenye PM ?

Aibu sana mtu anapojisema tabia zake, tumemtumia housegirl amsaidie jamaa anataka kwenda naye cinema, mtumzima mke na watoto aibuuu sasa mnajisema wenyewe, lete habari!

Dada kwa nini alikimbia baada ya ajali? Au unafikiri ni siri? kubeba box sio sawa na kuosha kinyesi cha wazee, au?

Au kubeba box ni sawa na kutunzwa na vimama vizee Harlem? Bwa! ha! ha! ha! ha! ah!
 

Hata siku moja hatujawahi kushusha hadhi za wake zetu kwa kutongoza mahousegirl, au kwa kutembe ana magirlfriend wa wadogo zetu kwa siri, never sisi huwa ni masikini sana, lakini tuna heshima sana na wake zetu, na jamii pia.

Kwa sababu sasa mnataka viroja karibuni sana, maana I love it!
 
FMeS!

Kuna mtu wa watu unamwonea. Mimi sikufahamu wala sitaki kukufahamu. Mimi nilikupinga uliposema kuwa Masha ametufanyia fadhila watanzania kwa kuacha kazi ya umeneja wa Amusement Park Marekani na kukubali kuwa waziri Tanzania! Hiyo ya Regional unaibuni.

Najua hauwezi kuamini lakini mimi na Kuhani hatujuani. Tunataniana, kitu mambacho hauwezi kuelewa.

Kama kuna mtu umemtumia hausgeli halafu akatembea na mke wa mdogo wake wala sio mimi. Kwanza, sina mdogo. Kamwombe radhi huyo unayemhisi. Unamuonea bure.

Haunijui, Sikujui. Yaishie hapo.
 
safari za matibabu ulaya mara mbili kwa mwaka wao na wake zao na walinzi wakifuatana na mpishi mmoja na msaidizi wa karibu, free msosi wa government, walinzi wawili personal na mengineyo!

All this ni mpaka watakapoitwa kwenye haki
.
Kwa nini wakatibiwe Ulaya? wanafanya makusudi kutoboresha huduma za afya familia zao zinatibiwa Ulaya......Ufisadi
 
Kwamtazamo wangu hii hoja ingerudi kwawatu kuleta proven data au references kwenye hati sahihi za kiserikali au kikatiba, maana naona hoja hii (kama nyingi siku hizi hapa kwenye forum) inaelekea kwenye personal attacks kati ya pande mbili ambazo aidha zinajuana au wanavisa vyao.

Sasa hii (kwa mtazamo wangu) moja ina tatizo la kuweza kusababisha watu wengine kutochangia mawazo yao (maana ishakuwa mashindano ya watu kadhaa ambao ukisoma vizuri utaona hawajaanzia hapa vita vyao) kwahiyo kukosesha jamvi uhondo au data ambazo lingepata kungekuwa na objectivity au watu kuheshimiana mawazo yao wakipingana na kuto lete (drag) visa vyao kwenye threads nyingine.

Mbili kutaleta tabia hapa kila hoja inayokuja iwe inaangaliwa kwa pande mbili tu aidha unampinga fulani aua unamtetea fulani

Tatu kuna issue tunaweza kuamini kwa kudiscuss a message from hear say na kuna zingine tutakuwa hatuzitendei haki kutumia kipimo hicho. Kitu kama mshahara wa viongozi wetu ni vizuri tukaweka data (official records) ili kama zipo tuwe tunahakika cheo hiki kwa majukumu yake kinafadhiliwa kwa malipo kiasi fulani na kama hatuna hizo data tupate sehemu ya kuanza kuzidai ziwe documented.

Inawezekana yote anayosema FM ni ya kweli lakini bila ushahidi zaidi tya observation yake na experiences zake members wengine wana haki ya kupingathat urgument na yeye anatakiwa aheshimu mawazo (bila kuita none sense) yao eventhough hi is right.

Inawezekana vile vile anachosema kuwa si kweli au kina sehemu fulani ya uongo aidha kwa kuongezwa chumvi na huyo anayemuhadithia au kwa kukosea katika observation (it can happen to anybobody) hapa sasa wale wanaouliza integrity ya data zake wanakuwa wanaisaidia jamii (forum) kutoingia katika kuamini kisicho kweli.

Kupata kujua ukweli wa suala hili litasaidia hata vizazi vyetu huko mbele, maana inagine kwamba hamna documentation inayosema wazi kwamba waziri mkuu mstaafu atakirimiwa vipi baada ya huduma yake serikalini, hii inatoa mwanya kwa kiongozi mstaafu kudai chochote anachodhani ni haki yake na watendaji kushindwa kuyazuia maombi hayo maana hamna mwongozo unaoweka wazi nini kifanyike mtu anapostaafu (ukichukulia wabongo wanavyoogopa ).
 
Pumba tupu...........mzee wa majina meengi
 
Another Pumbaz.....hivi mbona mkuu pumba zimezidi heshimu umri wako maneno gani haya thread ni mishahara ya viongozi hoja huna..kaa kimya sio lazima uchangie...

Umeanza kwenda personal....mzee wa dataz an majina mengi unasikitisha.....
 
Mkuu Mndundu,
Humu jamvini kuna watu wamejenga kitabia cha kutaka kuaminiwa kwa kila jambo ili mradi kasema yeye. Humu jamvini wengi hatufahamiani kwa hiyo mimi nikisema hii ishu niliambiwa na Mheshimiwa jana hatuna namna ya kuthibitisha.

Kuna wachache wenye ujasiri wa kuweka majina yao na hao tutawaamini kutokana na kujua nafasi yao, ingawa ukweli ni kuwa hata hao hatuna uhakika nao maana watu wanaweza kutumia jina lolote.
Kwa bahati mbaya, inaelekea utomasi haukubaliwi na baadhi yetu kiasi kwamba ukihoji wanachokiita dataz basi utatafutwa hata huko ulikojificha, hata kama ni Harlem kwa Clinton.

Tofauti katika hii ishu ni simpo. Kuna mmoja amesema yeye anajua stahili za viongozi wastaafu kwa sababu yu karibu nao! Huyu muungwana anafikia hatua ya kusema kuwa hana hata haja ya kusoma waraka wa katiba ( anajaribu ku'cover all bases' maana kitu kama hicho hakipo) maana yeye anayaona.

Anachosahau ni kuwa si kila kitendachwo ni halali au kimeidhinishwa. Mengi yanafanywa kwa kuoneana aibu au kuheshimiana tuu lakini hatuwezi hata siku moja tukasema ni stahili (Kwa mfano leo wajane wa viongozi wetu wanaendelea kutunzwa ingawa sidhani kama kuna sheria inayosema kuwa hiyo ni haki yao).

Kuna sheria inayoongoza stahili za mafao za viongozi wastaafu na ni hii peke yake ambayo inaainisha mafao ya haki ya hawa wakuu wetu na si kingine. Mimi nimeisoma kitambo lakini uwezo wa kuitundika humu ndani sinao. Nimeyasema ninayoyakumbuka lakini kama kuna mtu anajua kuwa sheria inasema tofauti I stand to be corrected.

Ninachokataa ni huu ubabe wa kulazimishana na inaposhindikana kutumia personal attacks ambazo hazina msingi maana huyo anayenidhania ndiye, siye. Ni haki yangu ya msingi kubakia anonymous kama ilivyo kwa mchangiaji yeyote. Na ni haki yangu ya msingi kupinga hoja au kauli ambayo naona haijakaa sawa.

Ninachotarajia ni kuwa nitajibiwa kwa lugha ya kuheshimiana ( hata katika utani) maana kufanya vinginevyo kutondoa maudhui ya jamvi hili na kulifanya sehemu ya michapo. Mbaya zaidi itawafanya hata wale wenye mawazo yanayopingana na wengi wetu kuchelea kuyaweka humu kwa kuhofia hizo lugha za ubabe na kejeli!

Amandla.
 
Lets make reference to the relevant laws instead of speculating on the issues. The benefits are provided for by law- see Official Gazette, 1999-04-16, No. 3, pp. 259-444 which provides for retirement benefits for the President, Vice-President, Prime Minister, ministers, members of parliament, regional and district commissioners, and other politicians upon leaving political office.

This law has since been amended by Written Laws (Miscellaneous Amendments) Act, 2003 (No. 11 of 2003). Acts of Parliament, Parliament of Tanzania, Tanzania, 8 p.which makes miscellaneous amendments to a number of acts, including Public Service Retirement Benefits Act, 1999 and Political Service Retirement Benefits Act, 1999 (No. 3 of 1999).
 

Haya ndiyo tunayoyataka. Sasa kama ungeweza kuzianika humu ndani!
 
Another Pumbaz.....hivi mbona mkuu pumba zimezidi heshimu umri wako maneno gani haya thread ni mishahara ya viongozi hoja huna..kaa kimya sio lazima uchangie...

Umeanza kwenda personal....mzee wa dataz an majina mengi unasikitisha.....

Mkuu Yo-Yo,

Heshima yako kaka, ninaheshimu sana kazi yako kule kwenye topic ya Picha na historia, infact umenisaidia sana kuel kiasi kwamba sina noma kabisa na wewe, huu ugomvi haukusu kwa hiyo ninakupa free pass,

Hawa watu wangu wawili ndio nina deal nao, maana ninawajua sana kuliko wanavyofikiri na walikuwa hawajui, na wameamua wenyewe kuwa wanataka personal hilo sina noma nao, kwa hiyo mkuu nimekusikia sana, lakini niachie hawa size yangu hawa nitakula nao sahani moja mpaka mwisho.

Ahsante Mkuu Kwa kunielewa.
 

Kumbe yameshakuwa ugomvi? Mimi nilidhani kuwa bado tunapingana kwenye hoja? Don't flatter yourself, FMeS, hamna anayetaka kuwa personal na wewe. Ugomvi siutaki lakini nitakupinga kila ukileta vitu visivyoeleweka.

Wasiwasi wangu ni kuwa utakuja kumpiga mtu asiyehusika ukidhani ni mimi maana yaelekea unapenda shari!

Narudia tena. Haunijui. Sikujui. Yaishie hapo.

I am out of here.
 
1.
Mtoa mada ametoa amswali, nimeyajibu kwa kutumia experience ambazo nimeziona maisha yangu yote kuhusiana na na marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu, sasa ilikuwa ni wajibu wa members wengine kuleta sheria inasema nini kuhusiana na hii ishu ili wananchi tuweze kujua what is what kuhusiana na the ishu,

Kwa sababu inawezekana kuwa kati ya ninalioyaona kwenye hawa wastaafu kuna wanayovuka mipaka kisheria, na ni wajibu wetu JF siku zote kukemea maovu ya viongozi wetu kisiasa, lakini badala yake nimeanza kushambuliwa kuwa ni uongo, sasa ukweli uko wapi hauletwi badala yake imegeuka personal, lakini ninasimamia pale pale kwenye hoja yangu kuwa niliyoyasema kuhusiana na mafao ya hawa wakuu ni ukweli niliuona na ninaweza kuurudia tena na tena, sasa kama kuna mwenye sheria inayosema tofauti na niliyoyaona ina maana kuna kiongozi anavunja sheria, kazi yetu JF ni kurekebisha!

2.
Hili tatizo halikuanza leo, limeletwa na wakuu wetu wapya waliongia late kwenye forum hii, sasa mimi binafsi ni wajibu wangu kujibu mapigo
either way, kama ni hoja za taifa au personal sina tatizo hata siku moja, lakini sijawahi kumchokoza member mwingine hapa, ila ni wajibu wangu kujibu mapigo by anymeans necessary hilo sina mjadala!
Mbili kutaleta tabia hapa kila hoja inayokuja iwe inaangaliwa kwa pande mbili tu aidha unampinga fulani aua unamtetea fulani

3.
Very good, mimi nimeleta my experience mwingine alete sheria ndio hasa ninachosema hapa mkuu nipo na wewe 100%!

4.
Inawezekana yote anayosema FM ni ya kweli lakini bila ushahidi zaidi tya observation yake na experiences zake members wengine wana haki ya kupingathat urgument na yeye anatakiwa aheshimu mawazo (bila kuita none sense) yao eventhough hi is right.

Hpana unapinga maneno ambayo una ukweli zaidi ya yale maneno na kuuweka hapa, lakini huwezi kukurupuka tu na kudai ni uongo wakati huna ukweli, na ndio tabia yetu siku zote, huwa tunaweka ukweli ndio tunachambua habari nyingine as uongo, otherwise ni kuleta ujuha tu kwenye mijadala na kuiharibu bila sababu wakati wananchi wanajaribu kuchota elimu ya bure.

5.
Kuna kuuliza integrity ya anything kwa maneno ambayo ni clear kuwa mwandishi anataka kujua, kwa sababu hajui na kuna kuharibu topic kwa sababu aliyesema ni fulani, kwa kifupi tu ni kwamba hwuezi uliza ukweli wa hoja mabayo wewe huna uwkeli wake!

5.
Wastaafu wote wanafahamishwa na idara ya utumishi mapema sana kuhusu mafao yao, kwa hiyo hakuna uwezekano wa wao kudai anything nje ya sheria, na pia ndio hasa kazi ya wasaidizi wao hasa msaidizi mkuu, wanapewa special training kuhusu mafao ya wanaowasidia yaani wastaafu, kwa hiyo hli wala sio tatizo, tatizo ni sisi hapa kuwekana sawa na ukweli kuhusu what is what na hayo mafao, mimi nimeweka experience na mwingine aweke sheria tujue wapi kuna ukweli na wapi kuna abuse kutoka wastaafu.

Ahsante Mkuu!
 
1.
Kumbe yameshakuwa ugomvi? Mimi nilidhani kuwa bado tunapingana kwenye hoja?

what? Eti tunapingana kihoja? Yaani unafikri hapa kuna watoto wadogo au?

2. [
B]Don't flatter yourself, FMeS, hamna anayetaka kuwa personal na wewe. Ugomvi siutaki lakini nitakupinga kila ukileta vitu visivyoeleweka. Wasiwasi wangu ni kuwa utakuja kumpiga mtu asiyehusika ukidhani ni mimi maana yaelekea unapenda shari![/B]

Flatter what? nani mwenye hayo matatizo? Mimi nitaendelea kuweka vitu vyangu hapa ambavyo nlianza kabla hujaingia hii forum na sitakuja kubadiliak kwa sababu wewe hupendi ninavyoandika au the way ninavyotoa hoja zangu, nitakuheshimu tu pale utakapoweza kwueka vitu ambavyo vina ukweli zaidi ya dataz zangu, otherwise hata siku moja sina uoga na ukweli ninaoujua hata kama ni dataz, kama nilivyofanya kwenye hii topic,

Ya kupenda au kutokupenda shari nafikiri hii foprum haina wajinga wasioelewa hilo, maana nimekuwepo hapa long enough na ninafahamiaka na wengi hapa kwa hiyo hilo sina tatzio nalo. Ila usifikiri kwamba wewe na huyo mdini wmenzako manweza kunitisha kwa sababu wewe unajua kwua hata kwenye real life huwezi hilo kama unaweza nipo tutafutane!

3
. Narudia tena. Haunijui. Sikujui. Yaishie hapo.
I am out of here.

Nikujue wewe ili unisaidie nini? niwe na roho ya kikorosho kama yako never, wasalimie sana huko mbele ya safari!
 
Kumbe kuna watu wanagombana kikwelikweli humu ndani! Tufike mahala tudhibiti hali kama hii maana inatupotezea muda na mwelekeo wa mijadala yetu. Mtu unakuta kuna post mpya kwenye mjadala unaofuatilia, ukifungua unakuta si mwendelezo wa mjadala na badala yake ni ugomvi binafsi. Hii inachefua sana.
 
FMeS!
Kiingereza, bwana mdogo, kiingereza. Ulizia kwanza kabla ya kupandisha munkhari! Flatter sio tusi.

Sasa kama si mshari unataka nini nikutafute kwenye real life? Ili iwaje?

Haya, kumbe haunijui! Sasa mbona mara unaniita DJ, halafu unadai mimi ni low class kwa vile natongoza mke wa mdogo wangu, halafu mmeniletea hausgel, halafu ninatunzwa harlem, halafu kila nikikutana na wewe nainamisha macho! Yote hayo yalitoka wapi?

Usichoelewa ni kuwa unapingwa na hoja na si vinginevyo. Kwa wengine kusema kuwa uliyasikia kutoka kwa mpishi wa Mkuu, au shemeji wa mke wako ambaye ameoa Mkuu, haitoshi. Ndiyo maana kwenye hili nika kwambia unayosema yanatofautiana na sheria inayotawala maslahi ya viongozi. Nikakuwekea sheria yenyewe lakini ukasema hauna haja nayo maana wewe unapata facts on the ground.

Huo ni uamuzi wako lakini usitulazimishe wengine, hata kama ni wachache, kukubaliana na hizo anecdotal evidence. Kama hazitukalii vyema hata ukisema kuwa wewe ndiye mhusika na maslahi hayo! Unapodai kuwa dataz zako ni zaidi ya sheria ndipo panapoingia walakin. Hasa hapo inapodhiirika kuwa haujui tofauti ya katiba, sheria na waraka!

Amandla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…