Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 421
- 778
Kuna sista angu ameitwa kwenye interview, anatokea kwenye NGOs sasa hajui structure ya mishahara ya voda ipi vipi. Mwenye uzoefu. msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No kwa level ndogo za mid managerial inacheza ngapi??CEO anapata USD35,000 kwa mwezi. Kama anakwenda kuwa CEO, nampa hongera zake. Najua nafasi ya CEO iko wazi hapo Voda.
Yaani unajipanga kabisa jinsi na namna ya kumpiga mizinga kutokana na mshahara wakeKuna sista angu ameitwa kwenye interview, anatokea kwenye NGOs sasa hajui structure ya mishhara ya voda ipi vipi. Mwenye uzoefu. msaada
Duh!!!, Mshahara mnono kweli kweli,hapo kila siku nakuwa napiga Dompo na kuku wa kubanikwa akiwa amepakwa pilipili, watoto watasoma Shule Bomba, Wazazi wangu lazima waishi maisha mazuri yasiyo na stress.Najenga nyumba nzuri ya kisasa,na kununua gari zuri la kutembelea.CEO anapata USD35,000 kwa mwezi. Kama anakwenda kuwa CEO, nampa hongera zake. Najua nafasi ya CEO iko wazi hapo Voda.
Duh!!!, Mshahara mnono kweli kweli,hapo kila siku nakuwa napiga Dompo na kuku wa kubanikwa akiwa amepakwa pilipili, watoto watasoma Shule Bomba, Wazazi wangu lazima waishi maisha mazuri yasiyo na stress.Najenga nyumba nzuri ya kisasa,na kununua gari zuri la kutembelea.
Sema nafasi gani..? Au territory manager.?
Dah!!!, Yaani limshahara lote hilo bado watoto unasomeshewa?!!!, Nimekumbuka kauli ya Hayati Magufuli kuwa kuna watu wanaishi km wako peponi vile.Karo tena? Karo za watoto analipiwa na Voda. Tatizo la pesa, ukishaipata unaona kawaida tu na mawazo yako yanabadilika. Unaweza nunua IST na watu wasikujue kuwa una mabilioni benki. Mimi kabla ya kupata kazi nilikuwa nawaza kuvaa. Baada ya kupata kazi, wala sina muda wa kuoteza na kuvaa vizuri (dressing up). Nina nguo za kawaida tu.
Hapo kwenye dompo na kuku wa kubanikwa mkuu uminiua!Duh!!!, Mshahara mnono kweli kweli,hapo kila siku nakuwa napiga Dompo na kuku wa kubanikwa akiwa amepakwa pilipili, watoto watasoma Shule Bomba, Wazazi wangu lazima waishi maisha mazuri yasiyo na stress.Najenga nyumba nzuri ya kisasa,na kununua gari zuri la kutembelea.
Dah!!!, Yaani limshahara lote hilo bado watoto unasomeshewa?!!!, Nimekumbuka kauli ya Hayati Magufuli kuwa kuna watu wanaishi km wako peponi vile.
Sawa lkn dah!!!,kitita kizito aisee.Siyo pesa ya serikali hiyo. Ni pesa ya kampuni.
Sawa lkn dah!!!,kitita kizito aisee.
Sio tigo zote ni taam, zingine zina chumvi chumviTigo ndo tamu