Mishahara ya Voda ipo vipi?

Mishahara ya Voda ipo vipi?

Duh!!!, Mshahara mnono kweli kweli,hapo kila siku nakuwa napiga Dompo na kuku wa kubanikwa akiwa amepakwa pilipili, watoto watasoma Shule Bomba, Wazazi wangu lazima waishi maisha mazuri yasiyo na stress.Najenga nyumba nzuri ya kisasa,na kununua gari zuri la kutembelea.
Uko njema mno ...umeweka mahitaji yote ya mwanadamu..
 
Mbona huu mshahara ni wakawaida sana,uliza MD wa Coca Cola kwanza anakula ngapi,ndiyo utajua kwamba kumbe kuna watu wanaishi maisha na kuna watu wanasindikiza watu kuishi!

Mtu anakula 70M plus pocket money 5M daily, kwa ajiri ya chai na entertainment za wageni wake! Watoto wake wanasoma shule kwa gharama za ofisi,familia inatibiwa nje kwa gharama za ofisi,anapangiwa house,Kodi yake sio chini ya 20M per Month! Anapewa simu zile latest, vocha ni unlimited,yeye nikupiga tu simu! Kuna watu wanaishi bwana
Duu...kweli binadamu hatuko sawa
 
Mbona huu mshahara ni wakawaida sana,uliza MD wa Coca Cola kwanza anakula ngapi,ndiyo utajua kwamba kumbe kuna watu wanaishi maisha na kuna watu wanasindikiza watu kuishi!

Mtu anakula 70M plus pocket money 5M daily, kwa ajiri ya chai na entertainment za wageni wake! Watoto wake wanasoma shule kwa gharama za ofisi,familia inatibiwa nje kwa gharama za ofisi,anapangiwa house,Kodi yake sio chini ya 20M per Month! Anapewa simu zile latest, vocha ni unlimited,yeye nikupiga tu simu! Kuna watu wanaishi bwana
Hamna hata raha sasa ela yake anafanyia nn ya mshahara?
 
Hamna hata raha sasa ela yake anafanyia nn ya mshahara?
Mbona huu mshahara ni wakawaida sana,uliza MD wa Coca Cola kwanza anakula ngapi,ndiyo utajua kwamba kumbe kuna watu wanaishi maisha na kuna watu wanasindikiza watu kuishi!

Mtu anakula 70M plus pocket money 5M daily, kwa ajiri ya chai na entertainment za wageni wake! Watoto wake wanasoma shule kwa gharama za ofisi,familia inatibiwa nje kwa gharama za ofisi,anapangiwa house,Kodi yake sio chini ya 20M per Month! Anapewa simu zile latest, vocha ni unlimited,yeye nikupiga tu simu! Kuna watu wanaishi bwana
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom