Mishahara ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikatwe PAYE

Mishahara ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikatwe PAYE

Hawatakubali
siyo suala la kuulizwa, kodi ni lazima kila mtanzania bila kujali mugao wa majukumu lzm alipe kodi na sheria zinazotungwa lzm zituhusu wote siyo kikundi kingine kibaki bila kutekeleza sheria ambayo wao wenyewe waliitunga hivyo wao wabunge lazima wawe wa kwanza kutekeleza sheria wanazotunga siyo kutungia wengine wao haziwahusu ndiyo maana sheria zingine ni za ajabu kabisa.
 
siyo suala la kuulizwa, kodi ni lazima kila mtanzania bila kujali mugao wa majukumu lzm alipe kodi na sheria zinazotungwa lzm zituhusu wote siyo kikundi kingine kibaki bila kutekeleza sheria ambayo wao wenyewe waliitunga hivyo wao wabunge lazima wawe wa kwanza kutekeleza sheria wanazotunga siyo kutungia wengine wao haziwahusu ndiyo maana sheria zingine ni za ajabu kabisa.
Tatizo ni kuwa wao ndio wanaotunga sheria, na wamejitungia sheria kuwa wasikatwe hela zao. Sasa tufanyeje?

Tukisema watunge sheria ya wao kukatwa kodi, hawatakubali maana wanalinda maslahi yao
 
Kila muamala wa malipo lazima ulipiwe kodi.Mshahara au Posho kote kata kodi
marupu rupu yana kodi ?

Mkuu kuna loopholes nyingi sana za kukwepa kodi Hususan ukizingatia hawa ndio watunga sheria unategemea nini ? Dawa ingebidi kila mwaka wananchi ndio wakae kupitisha malipo ya hawa wakaa bure....
 
Wabunge ni wahujumu uchumi namba 1 Tz! Ni vyema wakalipa kodi ili kudhihirisha uzalendo wanaouongelea kila siku! # mh. Rais SSH aione kwenye jalada!
 
Bunge lenyewe naona linaishia kuwa kama' talk shop' na tija yake imekuwa ndogo na kwa kujaribu kubana matumizi na maposho, afadhali lingefanyika kwa 'virtual' kupitia zoom, Skype etc..kila mbunge achangie akiwa jimboni kwake....
Hawatujali mkuu..kila kukicha kutulundikia mikodi mipya!
 
K
marupu rupu yana kodi ?

Mkuu kuna loopholes nyingi sana za kukwepa kodi Hususan ukizingatia hawa ndio watunga sheria unategemea nini ? Dawa ingebidi kila mwaka wananchi ndio wakae kupitisha malipo ya hawa wakaa bure....
Thts why tunahitaji katiba mpya ili iweke bayana uwajibikaji wa wabunge kuchangia ukuaji wa uchumi kwa kulipa kodi ipasavyo na sio kuwalundikia wanyonge mikodi ya kila aina!
 
Mbunge anapokaa bungeni ni moja ya kazi zake za kawaida. Siyo kazi ya ziada. Ni tofauti na mfanyakazi mwingine anapokaa kwenye kikao cha bodi ya shirika lisilo sehemu ya ofisi yake, au vikao vya nje ya saa za kazi.

Sasa kwa nini wajilipe posho ya kukaa? Na mshahara ni wa nini kama kukaa bungeni ni kazi ya ziada inayostahili posho ya kukaa?

Mbunge kulipwa posho ya kukaa bungeni ni sawa na mwalimu alipwe posho ya kuingia darasani. Ni wizi. Wakitaka wasilipwe mshahara na hapo posho ya kukaa itakuwa halali.

Ili kukata mirija, mbunge alipwe mshahara kama milioni 4 au 5 kwa mwezi, alipe PAYE, na posho ya kukaa alipwe kwa vikao visivyo vya bunge au vya bunge vilivyo nje ya saa za kazi.

Tumenyonywa vya kutosha na wabunge wetu. Tumegundua kikulacho kiko nguoni mwako. Acheni ubwanyeye wabunge wa Tanzania!
 
Tatizo ni kuwa wao ndio wanaotunga sheria, na wamejitungia sheria kuwa wasikatwe hela zao. Sasa tufanyeje?

Tukisema watunge sheria ya wao kukatwa kodi, hawatakubali maana wanalinda maslahi


sheria ya kuzuia wabunge kulipa kodi ni moja ya sheria mbaya kwani inawafanya wabunge kutoshiriki shughuri muhimu Sana kwenye Maendeleo ya nchi.
 
Tatizo ni kuwa wao ndio wanaotunga sheria, na wamejitungia sheria kuwa wasikatwe hela zao. Sasa tufanyeje?

Tukisema watunge sheria ya wao kukatwa kodi, hawatakubali maana wanalinda maslahi yao
Wananchi wakikubali maslahi ya wabunge yatangulie maslahi ya taifa hili litakuwa tatizo lao.
 
Mbunge anapokaa bungeni ni moja ya kazi zake za kawaida. Siyo kazi ya ziada. Ni tofauti na mfanyakazi mwingine anapokaa kwenye kikao cha bodi ya shirika lisilo sehemu ya ofisi yake, au vikao vya nje ya saa za kazi.

Sasa kwa nini wajilipe posho ya kukaa? Na mshahara ni wa nini kama kukaa bungeni ni kazi ya ziada inayostahili posho ya kukaa?

Mbunge kulipwa posho ya kukaa bungeni ni sawa na mwalimu alipwe posho ya kuingia darasani. Ni wizi. Wakitaka wasilipwe mshahara na hapo posho ya kukaa itakuwa halali.

Ili kukata mirija, mbunge alipwe mshahara kama milioni 4 au 5 kwa mwezi, alipe PAYE, na posho ya kukaa alipwe kwa vikao visivyo vya bunge au vya bunge vilivyo nje ya saa za kazi.

Tumenyonywa vya kutosha na wabunge wetu. Tumegundua kikulacho kiko nguoni mwako. Acheni ubwanyeye wabunge wa Tanzania!
Hiyo yote ni ujinga wetu sisi Wananchi tu wajinga sana yaani...

Inasikitisha sana MBUNGE anapata MSHAHARA wa Sh.Mil.11 na KIINUA MGONGO cha Sh.Mil.200 na Hakatwi KODI na huo Mshahara na Kiinua Mgongo ni KODI za WANANCHI leo Anasimama MBUNGE na Kudai Wananchi Wakatwe KODI ya UZALENDO .Kama ni UZALENDO anzeni nyinyi WABUNGE wenye MISHAHARA ya MAMILIONI Kukatwa Pesa na Ziende kwenye MIRADI ya MAENDELEO Majimboni Kwenu Huo Utakuwa UZALENDO.Wananchi Wanyonge na Masikini Mnawarundikia UTITIRI wa KODI nyinyi MNASTAREHE kwa MISHAHARA MINONO na MAGARI Mazuri Hebu Waoneeni Huruma Wapiga KURA
 
Huu ni uzalendo.

Uzalendo hauishii kwenye laini za simu tu. Naomba Spika afikishe huu ujumbe kwa Wabunge wake. La sivyo tutaandamana kushinikiza nao wakatwe kodi kwenye mishahara yao.
Umeambiwa hawakatwi- au kakwambia Kigogo maana nyie waumini wa kigogo hamtaki kujisumbua kutumia akili zenu
 
Back
Top Bottom