wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,455
- 4,395
Wakwepa kodi hao. TRA mpo au vipi?
Wabunge hawana tofauti na wakwepa Kodi wengine... Wanapaswa kulipa Kodi na posho yao kufutiliwa mbali maana malipo ya posho ya vikao ni batili ikiwa wanalipwa mshahara kwaajiri ya kukaa hivyo vikao vya bunge...
Wajipitishie kodi wenyewe, weeee hawa hawa kina Zungu?
Watapitisha tu kwa mujibu wa sheria za Kodi zinavyotaka...