inasikitisha sana na ina-disappoimt sana juhud za wazalendo tunaovuja jasho kutaftia familia zetu lakn kulitaftia Taifa lisonge mbele zaid huku tukuwataftia akina zungu ulaji mkubwaa kwa kigezo cha ubunge,zigo la makato ya laini limesimamiwa huku wao kukatwa Social Funds kama hawaijuii vilee na n halali yao watu hawa wa peponi ya dunian